Surah Buruj aya 10 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Buruj aya 10 in arabic text(The Constellations).
  
   

﴿إِنَّ الَّذِينَ فَتَنُوا الْمُؤْمِنِينَ وَالْمُؤْمِنَاتِ ثُمَّ لَمْ يَتُوبُوا فَلَهُمْ عَذَابُ جَهَنَّمَ وَلَهُمْ عَذَابُ الْحَرِيقِ﴾
[ البروج: 10]

Hakika walio wafitini Waumini wanaume na Waumini wanawake, kisha hawakutubu, basi watapata adhabu ya Jahannamu na watapata adhabu ya kuungua.

Surah Al-Burooj in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Indeed, those who have tortured the believing men and believing women and then have not repented will have the punishment of Hell, and they will have the punishment of the Burning Fire.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hakika walio wafitini Waumini wanaume na Waumini wanawake, kisha hawakutubu, basi watapata adhabu ya Jahannamu na watapata adhabu ya kuungua.


Hakika walio watia matatani Waumini wanaume na Waumini wanawake kwa maudhi na kuwaadhibu kwa moto, kisha wasitubu na kurejea nyuma watapata Akhera adhabu ya Jahannamu kwa ukafiri wao, na watapata adhabu ya kuunguzwa kwa kule kuwaunguza moto Waumini.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 10 from Buruj


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na tulimpa Luqman hikima, tukamwambia: Mshukuru Mwenyezi Mungu. Na mwenye kushukuru basi hakika anashukuru kwa
  2. Ili msihuzunike kwa kilicho kupoteeni, wala msijitape kwa alicho kupeni. Na Mwenyezi Mungu hampendi kila
  3. Humo wataegemea juu ya viti vya enzi, hawataona humo jua kali wala baridi kali.
  4. Na muombe maghfira Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa maghfira, Mwenye kurehemu.
  5. - Kama yaliyo wapata watu wa Firauni na wale walio kuwa kabla yao. Walikanusha Ishara
  6. Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba.
  7. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
  8. Wala msiwape wasio na akili mali yenu ambayo Mwenyezi Mungu ameyajaalia yawe ni kiamu yenu.
  9. Akasema: Haiwi mimi nimsujudie mtu uliye muumba kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na
  10. Muulizaji aliuliza juu ya adhabu itakayo tokea,

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Buruj with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Buruj mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Buruj Complete with high quality
Surah Buruj Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Buruj Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Buruj Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Buruj Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Buruj Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Buruj Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Buruj Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Buruj Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Buruj Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Buruj Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Buruj Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Buruj Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Buruj Al Hosary
Al Hosary
Surah Buruj Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Buruj Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, May 31, 2025

Please remember us in your sincere prayers