Surah Lail aya 11 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَمَا يُغْنِي عَنْهُ مَالُهُ إِذَا تَرَدَّىٰ﴾
[ الليل: 11]
Na mali yake yatamfaa nini atapo kuwa anadidimia?
Surah Al-Layl in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And what will his wealth avail him when he falls?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na mali yake yatamfaa nini atapo kuwa anadidimia?
Na kitu gani katika adhabu ambacho hayo mali yake yataweza kumkinga nacho, atapo teketea yeye mwenyewe mzima?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Lakini watakapo iona karibu, nyuso za walio kufuru zitahuzunishwa, na itasemwa: Hayo ndiyo mliyo kuwa
- Hakika haya ndiyo mliyo kuwa mkiyatilia shaka.
- Humo hawatasikia porojo wala maneno ya dhambi,
- Alipo waambia watu wake: Hamwogopi?
- Hakika Mimi ndiye Mola wako Mlezi! Basi vua viatu vyako. Kwani upo katika bonde takatifu
- Mwenyezi Mungu ndiye aliye kuumbeni, kisha akakuruzukuni, kisha anakufisheni, na kisha anakufufueni. Je! Yupo yeyote
- Iwe salama kwa Musa na Haruni!
- Na pale Malaika walipo sema: Ewe Maryamu! Hakika Mwenyezi Mungu anakubashiria (mwana) kwa neno litokalo
- Kwa kuzua tu mnataka miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu?
- Na hakika tumeisahilisha Qur'ani kuikumbuka. Lakini yupo anaye kumbuka?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Lail with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Lail mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Lail Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers