Surah Araf aya 111 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالُوا أَرْجِهْ وَأَخَاهُ وَأَرْسِلْ فِي الْمَدَائِنِ حَاشِرِينَ﴾
[ الأعراف: 111]
Wakasema: Mwache kidogo yeye na nduguye, na watume mijini wakusanyao,
Surah Al-Araf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They said, "Postpone [the matter of] him and his brother and send among the cities gatherers
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wakasema: Mwache kidogo yeye na nduguye, na watume mijini wakusanyao,.
Wakasema: Akhirisha kukata shauri juu yake na nduguye huyu anaye msaidia katika wito wake, na watume watu katika askari wako wende katika miji ya ufalme wako wawakusanye walio mafundi katika ilimu ya uchawi.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakuzaa wala hakuzaliwa.
- Na mcheni Mwenyezi Mungu, wala msinihizi.
- Mwenyezi Mungu tu ndiye Mwenye dunia na Akhera.
- Siku itapo geuzwa ardhi iwe ardhi nyengine, na mbingu pia. Nao watahudhuria mbele ya Mwenyezi
- Watasema (wakubwa): Bali nyinyi wenyewe hamkuwa Waumini.
- Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio safishwa.
- Kisha nyinyi kwa nyinyi mnauwana, na mnawatoa baadhi yenu majumbani kwao, mkisaidiana kwa dhambi na
- Na ninasadikisha yaliyo kuwa kabla yangu katika Taurati, na ili nikuhalalishieni baadhi ya yale mlio
- Na tukakufanya kulala kwenu ni mapumziko?
- Hakika Mola wako Mlezi yupo kwenye mavizio anawavizia.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Araf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Araf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Araf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers