Surah Qaf aya 15 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Qaf aya 15 in arabic text(Qaf).
  
   
ayat 15 from Surah Qaf

﴿أَفَعَيِينَا بِالْخَلْقِ الْأَوَّلِ ۚ بَلْ هُمْ فِي لَبْسٍ مِّنْ خَلْقٍ جَدِيدٍ
[ ق: 15]

Kwani tulichoka kwa kuumba mara ya kwanza. Bali wao wamo katika shaka tu juu ya umbo jipya.

Surah Qaf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Did We fail in the first creation? But they are in confusion over a new creation.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Kwani tulichoka kwa kuumba mara ya kwanza. Bali wao wamo katika shaka tu juu ya umbo jipya.


Kwani kutaka kwetu kulipungua, au uwezo wetu ulitetereka, hata tukashindwa kwa kule kuumba kwa mara ya kwanza, tusiweze tena kuwarejeza? Hasha! Hatukushindwa, nao wanatambua hayo. Bali wao wana shaka tu na wanadanganyikiwa na huku kuumbwa kupya baada ya kufa.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 15 from Qaf


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na wahukumu baina yao kwa aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, wala usifuate matamanio yao. Nawe tahadhari
  2. Akasema Musa: Mnasema hivi juu ya Haki ilipo kujieni? Huu ni uchawi? Na wachawi hawafanikiwi!
  3. Ndio hivi! Na hakika wenye kuasi bila ya shaka watapata marudio maovu kabisa;
  4. Wanakuuliza khabarai ya miezi. Sema: Hiyo ni vipimo vya nyakati kwa ajili ya watu na
  5. Na ukiwauliza: Ni nani aliye ziumba mbingu na ardhi. Bila ya shaka watasema: Mwenyezi Mungu.
  6. Badala ya Mwenyezi Mungu, yeye huomba kisicho mdhuru wala kumnufaisha. Huko ndiko kupotolea mbali!
  7. Na alipo elekea upande wa Madyana alisema: Asaa Mola wangu Mlezi akaniongoa njia iliyo sawa.
  8. Na je! Imekufikia khabari ya wagombanao walipo pindukia ukuta kuingia chumbani?
  9. Na ikiwa unayo shaka katika tuliyo kuteremshia, basi waulize wasomao Kitabu kabla yako. Kwa yakini
  10. Yeye ndiye anaye huisha na anaye fisha. Akihukumu jambo liwe, basi huliambia: Kuwa! Likawa.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Qaf with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Qaf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qaf Complete with high quality
Surah Qaf Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Qaf Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Qaf Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Qaf Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Qaf Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Qaf Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Qaf Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Qaf Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Qaf Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Qaf Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Qaf Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Qaf Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Qaf Al Hosary
Al Hosary
Surah Qaf Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Qaf Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, December 21, 2025

Please remember us in your sincere prayers