Surah Qaf aya 15 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Qaf aya 15 in arabic text(Qaf).
  
   
ayat 15 from Surah Qaf

﴿أَفَعَيِينَا بِالْخَلْقِ الْأَوَّلِ ۚ بَلْ هُمْ فِي لَبْسٍ مِّنْ خَلْقٍ جَدِيدٍ
[ ق: 15]

Kwani tulichoka kwa kuumba mara ya kwanza. Bali wao wamo katika shaka tu juu ya umbo jipya.

Surah Qaf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Did We fail in the first creation? But they are in confusion over a new creation.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Kwani tulichoka kwa kuumba mara ya kwanza. Bali wao wamo katika shaka tu juu ya umbo jipya.


Kwani kutaka kwetu kulipungua, au uwezo wetu ulitetereka, hata tukashindwa kwa kule kuumba kwa mara ya kwanza, tusiweze tena kuwarejeza? Hasha! Hatukushindwa, nao wanatambua hayo. Bali wao wana shaka tu na wanadanganyikiwa na huku kuumbwa kupya baada ya kufa.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 15 from Qaf


Ayats from Quran in Swahili

  1. Wala hana chakula ila usaha wa watu wa Motoni.
  2. Hakika kuamka usiku kunawafikiana zaidi na moyo, na maneno yake yanatua zaidi.
  3. Kwa hakika wanaume wanao toa sadaka, na wanawake wanao toa sadaka, na wakamkopesha Mwenyezi Mungu
  4. Na ni wa Mwenyezi Mungu ufalme wa mbingu na ardhi, na kwa Mwenyezi Mungu ndio
  5. Je! Hujui kwamba Mwenyezi Mungu anayajua yaliomo mbinguni na katika ardhi? Hakika hayo yamo Kitabuni.
  6. Hiyo ni mipaka ya Mwenyezi Mungu. Na anaye mt'ii Mwenyezi Mungu na Mtume wake, Yeye
  7. Nao watasema: Je! Hawakuwa wakikufikieni Mitume wenu kwa hoja zilio wazi? Watasema: Kwani? Watasema: Basi
  8. Mataifa mangapi tumeyaangamiza kabla yao, na wakapiga kelele, lakini wakati wa kuokoka ulikwisha pita.
  9. Na Mwenyezi Mungu anawajua vyema maadui zenu. Na Mwenyezi Mungu anatosha kuwa ni Mlinzi, na
  10. Na tukamnusuru na watu walio zikanusha Ishara zetu. Hakika hao walikuwa watu wabaya. Basi tukawazamisha

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Qaf with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Qaf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qaf Complete with high quality
Surah Qaf Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Qaf Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Qaf Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Qaf Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Qaf Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Qaf Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Qaf Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Qaf Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Qaf Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Qaf Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Qaf Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Qaf Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Qaf Al Hosary
Al Hosary
Surah Qaf Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Qaf Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, July 16, 2024

Please remember us in your sincere prayers