Surah Ibrahim aya 16 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿مِّن وَرَائِهِ جَهَنَّمُ وَيُسْقَىٰ مِن مَّاءٍ صَدِيدٍ﴾
[ إبراهيم: 16]
Ambaye nyuma yake ipo Jahannamu, na atanywishwa maji ya usaha.
Surah Ibrahim in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Before him is Hell, and he will be given a drink of purulent water.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ambaye nyuma yake ipo Jahannamu, na atanywishwa maji ya usaha.
Kushindwa kwa hao madhaalimu kunatangulia hapa duniani, na baada yake Akhera ipo adhabu ya Jahannamu. Huko watanyweshwa maji yanayo kirihi kama usaha unao toka kwa watu wa Motoni!
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hayakuwa haya ila ni mawaidha kwa walimwengu wote.
- Na yeyote kati yao atakaye sema: Mimi ni mungu, badala yake, basi huyo tutamlipa malipo
- Hakika katika mbingu na ardhi ziko Ishara kwa Waumini.
- Na wale wanao waomba wasio kuwa Mwenyezi Mungu hawaumbi kitu, bali wao wameumbwa.
- Wao hawawaombi badala yake Yeye ila wanawake, wala hawamuombi ila Shet'ani aliye asi.
- Na ombeni msamaha kwa Mola wenu Mlezi, tena tubuni kwake. Hakika Mola wangu Mlezi ni
- Kisha juu yake wanyweshwe mchanganyo wa maji yamoto yaliyo chemka.
- Nawe utawadhania wamacho, na hali wamelala. Nasi tunawageuza kulia na kushoto. Na mbwa wao amenyoosha
- Au hizo akili zao ndio zinawaamrisha haya, au wao basi ni watu majeuri tu?
- Qaaf. Naapa kwa Qur'ani tukufu!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Ibrahim with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Ibrahim mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ibrahim Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



