Surah Hujurat aya 16 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Hujurat aya 16 in arabic text(The Private Apartments).
  
   

﴿قُلْ أَتُعَلِّمُونَ اللَّهَ بِدِينِكُمْ وَاللَّهُ يَعْلَمُ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ ۚ وَاللَّهُ بِكُلِّ شَيْءٍ عَلِيمٌ
[ الحجرات: 16]

Sema: Ati ndio mnamfundisha Mwenyezi Mungu Dini yenu, na hali Mwenyezi Mungu anayajua ya katika mbingu na ardhi, na Mwenyezi Mungu anajua kila kitu?

Surah Al-Hujuraat in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Say, "Would you acquaint Allah with your religion while Allah knows whatever is in the heavens and whatever is on the earth, and Allah is Knowing of all things?"


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Sema: Ati ndio mnamfundisha Mwenyezi Mungu Dini yenu, na hali Mwenyezi Mungu anayajua ya katika mbingu na ardhi, na Mwenyezi Mungu anajua kila kitu?


Ewe Muhammad! Waambie kwa kuwakanusha ile kauli yao kuwa wameamini: Ndio hivyo ati mnampa khabari Mwenyezi Mungu kuwa nyoyo zenu zimesadiki? Na Mwenyezi Mungu peke yake anajua kila kiliomo katika mbingu na katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu amevizunguka vitu vyote kwa ujuzi wake.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 16 from Hujurat


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na kwa yakini tutawauliza wale walio pelekewa Ujumbe, na pia tutawauliza hao Wajumbe.
  2. Hakika Sisi tumeipamba mbingu ya karibu kwa pambo la nyota.
  3. Siku atakayo wafufua Mwenyezi Mungu wote, wamuwapie kama wanavyo kuwapieni nyinyi. Na watadhani kuwa wamepata
  4. Na tukampa wema duniani, na hakika Akhera atakuwa miongoni mwa watu wema.
  5. Je, wao wanayo miguu ya kwendea? Au wanayo mikono ya kutetea? Au wanayo macho ya
  6. Mwenyezi Mungu ndiye aliye kuumbeni, kisha akakuruzukuni, kisha anakufisheni, na kisha anakufufueni. Je! Yupo yeyote
  7. Ndipo mkewe akawaelekea, na huku anasema na akijipiga usoni kwa mastaajabu, na kusema: Mimi ni
  8. Na ikisemwa: Hakika ahadi ya Mwenyezi Mungu ni kweli, na Saa haina shaka, nyinyi mkisema:
  9. Na mkijitenga nao na vile wanavyo viabudu badala ya Mwenyezi Mungu, basi kimbilieni pangoni, akufungulieni
  10. Ndio kama hivi tumekutuma kwa umma ambao wamekwsiha pita kabla yao umati nyengine, ili uwasomee

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Hujurat with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Hujurat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hujurat Complete with high quality
Surah Hujurat Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Hujurat Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Hujurat Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Hujurat Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Hujurat Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Hujurat Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Hujurat Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Hujurat Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Hujurat Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Hujurat Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Hujurat Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Hujurat Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Hujurat Al Hosary
Al Hosary
Surah Hujurat Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Hujurat Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, April 27, 2026

Please remember us in your sincere prayers