Surah Hujurat aya 16 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Hujurat aya 16 in arabic text(The Private Apartments).
  
   

﴿قُلْ أَتُعَلِّمُونَ اللَّهَ بِدِينِكُمْ وَاللَّهُ يَعْلَمُ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ ۚ وَاللَّهُ بِكُلِّ شَيْءٍ عَلِيمٌ
[ الحجرات: 16]

Sema: Ati ndio mnamfundisha Mwenyezi Mungu Dini yenu, na hali Mwenyezi Mungu anayajua ya katika mbingu na ardhi, na Mwenyezi Mungu anajua kila kitu?

Surah Al-Hujuraat in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Say, "Would you acquaint Allah with your religion while Allah knows whatever is in the heavens and whatever is on the earth, and Allah is Knowing of all things?"


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Sema: Ati ndio mnamfundisha Mwenyezi Mungu Dini yenu, na hali Mwenyezi Mungu anayajua ya katika mbingu na ardhi, na Mwenyezi Mungu anajua kila kitu?


Ewe Muhammad! Waambie kwa kuwakanusha ile kauli yao kuwa wameamini: Ndio hivyo ati mnampa khabari Mwenyezi Mungu kuwa nyoyo zenu zimesadiki? Na Mwenyezi Mungu peke yake anajua kila kiliomo katika mbingu na katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu amevizunguka vitu vyote kwa ujuzi wake.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 16 from Hujurat


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na nimekuteuwa kwa ajili ya nafsi yangu.
  2. Wamewafanya makuhani wao na wamonaki wao kuwa ni marabi badala ya Mwenyezi Mungu, na pia
  3. Na wakadhani kuwa hapatakuwa majaribio; basi wakawa vipofu na viziwi. Kisha Mwenyezi Mungu akawapokelea toba
  4. Na wajumbe wetu walipo mfikia Lut'i, alihuzunika kwa ajili yao, na moyo uliona dhiki kwa
  5. Na tulipo ipasua bahari kwa ajili yenu na tukakuokoeni, tukawazamisha watu wa Firauni, na huku
  6. Na vivi hivi tumemfanyia kila Nabii adui miongoni mwa wakosefu, na Mola wako Mlezi anatosha
  7. Akasema: Mgeuzieni kiti chake cha enzi hiki, tuone ataongoka, au atakuwa miongoni mwa wasio ongoka.
  8. (Musa) akasema: Hayo ndiyo tuliyo kuwa tunayataka. Basi wakarudi nyuma kwa kufuata njia waliyo jia.
  9. Na ambaye ndiye ninaye mtumai kunisamehe makosa yangu Siku ya Malipo.
  10. Na mnacho kitoa kwa riba ili kiongezeke katika mali ya watu, basi hakiongezeki mbele ya

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Hujurat with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Hujurat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hujurat Complete with high quality
Surah Hujurat Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Hujurat Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Hujurat Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Hujurat Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Hujurat Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Hujurat Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Hujurat Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Hujurat Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Hujurat Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Hujurat Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Hujurat Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Hujurat Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Hujurat Al Hosary
Al Hosary
Surah Hujurat Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Hujurat Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, May 12, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب