Surah Hujurat aya 17 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Hujurat aya 17 in arabic text(The Private Apartments).
  
   

﴿يَمُنُّونَ عَلَيْكَ أَنْ أَسْلَمُوا ۖ قُل لَّا تَمُنُّوا عَلَيَّ إِسْلَامَكُم ۖ بَلِ اللَّهُ يَمُنُّ عَلَيْكُمْ أَنْ هَدَاكُمْ لِلْإِيمَانِ إِن كُنتُمْ صَادِقِينَ
[ الحجرات: 17]

Wanakusimbulia kuwa wamesilimu! Sema: Msinisimbulie kwa kusilimu kwenu. Bali Mwenyezi Mungu ndiye aliye kufanyieni hisani kwa kukuongoeni kwenye Imani, ikiwa nyinyi ni wakweli.

Surah Al-Hujuraat in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


They consider it a favor to you that they have accepted Islam. Say, "Do not consider your Islam a favor to me. Rather, Allah has conferred favor upon you that He has guided you to the faith, if you should be truthful."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Wanakusimbulia kuwa wamesilimu! Sema: Msinisimbulie kwa kusilimu kwenu. Bali Mwenyezi Mungu ndiye aliye kufanyieni hisani kwa kukuongoeni kwenye Imani, ikiwa nyinyi ni wakweli.


Wanaona kuwa kusilimu kwao ni kukuunga mkono wewe, Muhammad, na hivyo inastahiki wewe uwashukuru. Sema: Msinisimbulie kusilimu kwenu; kwani kheri yake mnaipata nyinyi. Bali ni Mwenyezi Mungu peke yake ndiye aliye kufanyieni ihsani kwa kukuongoeni kwenye Imani, ikiwa nyinyi ni wakweli katika hayo madai yenu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 17 from Hujurat


Ayats from Quran in Swahili

  1. Tulipo kufanyeni ni sawa na Mola Mlezi wa walimwengu wote.
  2. Na Mwenyezi Mungu anataka kukurejezeni kwenye ut'iifu wake, na wanao taka kufuata matamanio wanataka mkengeuke
  3. Watu wote walikuwa ni umma mmoja. Mwenyezi Mungu akapeleka Manabii wabashiri na waonyaji. Na pamoja
  4. Ikasemwa: Ewe Nuhu! Shuka kwa salama itokayo kwetu, na baraka nyingi juu yako na juu
  5. Yeye ndiye anaye kuundeni ndani ya matumbo ya wazazi kwa namna apendayo. Hapana mungu ila
  6. Kwani hawatembei katika ardhi wakaona ulikuwaje mwisho wa walio kuwa kabla yao? Wao walikuwa wengi
  7. Na ushike mwendo wa katikati, na teremsha sauti yako. Hakika katika sauti mbaya zote bila
  8. Sisi tunajua vyema kabisa sababu wanayo sikilizia wanapo kusikiliza, na wanapo nong'ona. Wanapo sema hao
  9. Na Sisi tuko karibu zaidi naye kuliko nyinyi.
  10. Hao ndio alio waneemesha Mwenyezi Mungu miongoni mwa Manabii katika uzao wa Adam, na katika

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Hujurat with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Hujurat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hujurat Complete with high quality
Surah Hujurat Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Hujurat Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Hujurat Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Hujurat Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Hujurat Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Hujurat Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Hujurat Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Hujurat Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Hujurat Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Hujurat Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Hujurat Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Hujurat Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Hujurat Al Hosary
Al Hosary
Surah Hujurat Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Hujurat Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, October 2, 2025

Please remember us in your sincere prayers