Surah Shuara aya 183 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَا تَبْخَسُوا النَّاسَ أَشْيَاءَهُمْ وَلَا تَعْثَوْا فِي الْأَرْضِ مُفْسِدِينَ﴾
[ الشعراء: 183]
Wala msiwapunje watu vitu vyao, wala msifanye jeuri kwa ufisadi.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And do not deprive people of their due and do not commit abuse on earth, spreading corruption.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wala msiwapunje watu vitu vyao, wala msifanye jeuri kwa ufisadi.
Wala msiwapunguzie watu haki zao, wala msipite katika nchi mkifisidi kwa kuuwa, na uharamia, na kufanya madhambi, na kufuata pumbao.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kwa hakika Mwenyezi Mungu amewapa radhi Waumini walipo fungamana nawe chini ya mti, na alijua
- Au maji yake yakadidimia wala usiweze kuyagundua.
- Na waache kwa muda.
- Hakika Mwenyezi Mungu hadhulumu hata uzito wa chembe moja. Na ikiwa ni jambo jema basi
- Na hakika tulikuumbeni, kisha tukakutieni sura, kisha tukawaambia Malaika: Msujudieni Adam. Basi wakasujudu isipo kuwa
- Na ili wajue wanao jadiliana katika Ishara zetu kwamba hawana pahala pa kukimbilia.
- Wanasema: Ushindi huu ni lini, kama mnasema kweli?
- Na lau tungeli warehemu na tukawaondolea shida waliyo nayo bila ya shaka wangeli endelea katika
- Wakasema: Hatutaacha kumuabudu mpaka Musa atapo rejea kwetu.
- Bali alikanusha, na akageuka.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers