Surah Shuara aya 183 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَا تَبْخَسُوا النَّاسَ أَشْيَاءَهُمْ وَلَا تَعْثَوْا فِي الْأَرْضِ مُفْسِدِينَ﴾
[ الشعراء: 183]
Wala msiwapunje watu vitu vyao, wala msifanye jeuri kwa ufisadi.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And do not deprive people of their due and do not commit abuse on earth, spreading corruption.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wala msiwapunje watu vitu vyao, wala msifanye jeuri kwa ufisadi.
Wala msiwapunguzie watu haki zao, wala msipite katika nchi mkifisidi kwa kuuwa, na uharamia, na kufanya madhambi, na kufuata pumbao.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na lau kuwa hatukukuweka imara ungeli karibia kuwaelekea kidogo.
- Na pia Qaruni na Firauni na Hamana! Na Musa aliwajia kwa Ishara waziwazi, lakini walijivuna
- Watanyweshwa kinywaji safi kiliyo tiwa muhuri,
- Kisha baada yao tukaanzisha kizazi kingine.
- Na alipo fikilia utu uzima tulimpa hukumu na ilimu. Na kama hivi tunawalipa wanao tenda
- Nami nitawapa muda. Hakika mpango wangu ni madhubuti.
- Na akasema: Haya si chochote ila ni uchawi ulio nukuliwa.
- Hakika wewe huna mamlaka juu ya waja wangu. Na Mola wako Mlezi anatosha kuwa ni
- Na uchungu wa kutoka roho utamjia kwa haki. Hayo ndiyo uliyo kuwa ukiyakimbia.
- Kisha miminikeni kutoka pale wanapo miminika watu, na muombeni Mwenyezi Mungu msamaha: hakika Mwenyezi Mungu
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



