Surah Assaaffat aya 49 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿كَأَنَّهُنَّ بَيْضٌ مَّكْنُونٌ﴾
[ الصافات: 49]
Hao wanawake kama mayai yaliyo hifadhika.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
As if they were [delicate] eggs, well-protected.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hao wanawake kama mayai yaliyo hifadhika.
Hao wanawake wenye macho ya staha ni kama mayai ya mbuni, yaliyo hifadhiwa na mbawa zake. Basi hayaguswi na mikono, wala hayapati vumbi.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ili Mwenyezi Mungu apate kuwa pambanua walio waovu na walio wema, na kuwaweka waovu juu
- Na wameishika miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu ili ati wapate kusaidiwa!
- Wakasema: Sisi hatukuvunja miadi yako kwa khiari yetu, lakini tulibebeshwa mizigo ya mapambo ya watu,
- Na mabustani na chemchem.
- Na katika umbo lenu na katika wanyama alio watawanya zimo Ishara kwa watu wenye yakini.
- Kwani huwaoni wale walio katazwa kunong'onezana kisha wakayarudia yale yale waliyo katazwa, na wakanong'ona juu
- Kisha mmwagieni juu ya kichwa chake adhabu ya maji yanayo chemka.
- Na lau tungeli wafungulia mlango wa mbingu, wakawa wanapanda,
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Na hapo tunge wapa malipo makubwa kutoka kwetu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



