Surah Assaaffat aya 49 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿كَأَنَّهُنَّ بَيْضٌ مَّكْنُونٌ﴾
[ الصافات: 49]
Hao wanawake kama mayai yaliyo hifadhika.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
As if they were [delicate] eggs, well-protected.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hao wanawake kama mayai yaliyo hifadhika.
Hao wanawake wenye macho ya staha ni kama mayai ya mbuni, yaliyo hifadhiwa na mbawa zake. Basi hayaguswi na mikono, wala hayapati vumbi.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakukuwa kuumbwa kwenu, wala kufufuliwa kwenu ila ni kama nafsi moja tu. Hakika Mwenyezi Mungu
- Alipo waambia ndugu yao, Nuhu: Je! Hamchimngu?
- Na siku hiyo tutawadhihirishia wazi Jahannamu makafiri waione.
- Hawatasikia humo upuuzi wala uwongo -
- Na Firauni akasema: Niachieni nimuuwe Musa, naye amwite Mola wake Mlezi! Mimi nachelea asije kubadilishieni
- Na katika mabedui walio jirani zenu wamo wanaafiki; na katika wenyeji wa Madina pia wapo
- Na nimefuata mila ya baba zangu, Ibrahim, na Is-haq, na Yaa'qub. Hatuna haki ya kumshirikisha
- Na matandiko yaliyo nyanyuliwa.
- Na ambao wanapo fanyiwa jeuri hujitetea.
- Bali unastaajabu, na wao wanafanya maskhara.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



