Surah Assaaffat aya 49 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿كَأَنَّهُنَّ بَيْضٌ مَّكْنُونٌ﴾
[ الصافات: 49]
Hao wanawake kama mayai yaliyo hifadhika.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
As if they were [delicate] eggs, well-protected.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hao wanawake kama mayai yaliyo hifadhika.
Hao wanawake wenye macho ya staha ni kama mayai ya mbuni, yaliyo hifadhiwa na mbawa zake. Basi hayaguswi na mikono, wala hayapati vumbi.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi uelekeze uso wako kwenye Dini Iliyo Nyooka kabla ya kufika Siku hiyo isiyo zuilika,
- Na bilauri zilizo pangwa,
- Basi wape muhula makafiri - wape muhula pole pole.
- Muaminini Mwenyezi Mungu na Mtume wake; na toeni katika alivyo kufanyeni nyinyi kuwa ni waangalizi
- Je! Katika viumbe vyote mnawaingilia wanaume?
- Na wakikukanusha, basi walikwisha kanushwa Mitume kabla yako. Na mambo yote yatarudishwa kwa Mwenyezi Mungu.
- Akasema: Mola wangu Mlezi! Hakika watu wangu wamenikanusha.
- Wala usitoe kwa kutaraji kuzidishiwa.
- Mwenyezi Mungu amezaa! Ama hakika bila ya shaka hao ni waongo!
- Nao wakamwacha, wakampa kisogo.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers