Surah Yusuf aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّا أَنزَلْنَاهُ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لَّعَلَّكُمْ تَعْقِلُونَ﴾
[ يوسف: 2]
Hakika Sisi tumeiteremsha Qur'ani kwa Kiarabu ili mpate kuzingatia.
Surah Yusuf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed, We have sent it down as an Arabic Qur'an that you might understand.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika Sisi tumeiteremsha Qurani kwa Kiarabu ili mpate kuzingatia.
Hakika Sisi tumemteremshia Mtume wetu haya maneno kwa lugha yenu ya Kiarabu yasomwe na yahifadhiwe, ili muyafahamu, na muwafikishie watu wote.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wala msifanye uharibifu katika nchi baada ya kuwa imekwisha tengenezwa. Na muombeni kwa kuogopa na
- Na hakika bila ya shaka sisi ndio wajipangao safu.
- Hakika wale walio amini na wale walio hama na wakapigania Njia ya Mwenyezi Mungu, hao
- Enyi Mlio amini! Mkikutana na walio kufuru vitani msiwageuzie mgongo.
- Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika checmchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu.
- Hakika amefanikiwa aliye itakasa,
- Sema: Kuweni hata mawe na chuma.
- Na mabustani na chemchem.
- Na hatukukuteremshia Kitabu isipo kuwa uwabainishie yale ambayo wanakhitalifiana, na kiwe Uwongofu na Rehema kwa
- Enyi mlio amini! Mt'iini Mwenyezi Mungu, na mt'iini Mtume na wenye madaraka katika nyinyi. Na
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yusuf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yusuf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yusuf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



