Surah Al Balad aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأَنتَ حِلٌّ بِهَٰذَا الْبَلَدِ﴾
[ البلد: 2]
Nawe unaukaa Mji huu.
Surah Al-Balad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And you, [O Muhammad], are free of restriction in this city -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Nawe unaukaa Mji huu.
Na wewe unaishi katika mji huu, unauzidisha utukufu wake na cheo chake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Yeye anakuamrisheni maovu na machafu, na mumsingizie Mwenyezi Mungu mambo msiyo yajua.
- Naye tukampa Is-haq, na Yaaqub kuwa ni ziada. Na wote tukawajaalia wawe watu wema.
- Na enyi watu wangu! Timizeni vipimo na mizani kwa uadilifu wala msiwakhini watu vitu vyao;
- (Mwenyezi Mungu) akasema: Hakika wewe ni katika walio pewa muhula
- Hukumwona yule aliye hojiana na Ibrahim juu ya Mola wake Mlezi kwa sababu Mwenyezi Mungu
- Na kwa ajili ya Mola wako Mlezi, subiri!
- Kuwa mtapata humo mnayo yapenda?
- Sio wema kuwa mnaelekeza nyuso zenu upande wa mashariki na magharibi. Bali wema ni wa
- Hakika Sisi tutawaumba (Mahurulaini) upya,
- Hawatausikia mvumo wake, na wao watadumu katika yale zinayo yatamani nafsi zao.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Balad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Balad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Balad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers