Surah Al Isra aya 21 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al Isra aya 21 in arabic text(The Night Journey).
  
   

﴿انظُرْ كَيْفَ فَضَّلْنَا بَعْضَهُمْ عَلَىٰ بَعْضٍ ۚ وَلَلْآخِرَةُ أَكْبَرُ دَرَجَاتٍ وَأَكْبَرُ تَفْضِيلًا
[ الإسراء: 21]

Angalia vipi tulivyo wafadhili baadhi yao kuliko wenginewe. Na hakika Akhera ni yenye daraja kubwa zaidi na fadhila kubwa zaidi.

Surah Al-Isra in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Look how We have favored [in provision] some of them over others. But the Hereafter is greater in degrees [of difference] and greater in distinction.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Angalia vipi tulivyo wafadhili baadhi yao kuliko wenginewe. Na hakika Akhera ni yenye daraja kubwa zaidi na fadhila kubwa zaidi.


Hebu angalia kwa kuzingatia vipi tulivyo wafadhilisha baadhi ya waja wetu kuliko wengine, kwa kuwapa mali na vyeo na nafasi, pindi wakishika njia za kuyapata hayo katika dunia. Na hayo ni kwa hikima tunayo ijua Sisi. Na tafauti zao katika Akhera ni kubwa zaidi kuliko tafauti zao za duniani. Kwa hivyo yatakikana waishughulikie Akhera, kwani huko ndiko kwenye kutukuka kwa kweli na kuzidiana kwa hakika.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 21 from Al Isra


Ayats from Quran in Swahili

  1. Kisha Sisi hubadilisha mahala pa ubaya kwa wema, hata wakazidi, na wakasema: Taabu na raha
  2. Au wanao washirika? Basi wawalete washirika wao wakiwa wanasema kweli.
  3. Yasikufurahishe mali yao wala wana wao. Hakika Mwenyezi Mungu anataka kuwaadhibu kwayo hapa duniani, na
  4. Alipo waambia ndugu yao, Hud: Je! Hamchimngu?
  5. Hivi inaelekea zaidi ya kwamba watatoa ushahidi ulio sawa au wataogopa visije vikaletwa viapo vingine
  6. Basi jiepushe nao. Siku atakapo ita mwitaji kuliendea jambo linalo chusha;
  7. Hayo ni kwa sababu walimpinga Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Na mwenye kumpinga Mwenyezi Mungu,
  8. Na atakaye mjia naye ni Muumini aliye tenda mema, basi hao ndio wenye vyeo vya
  9. Waambie waja wangu ya kwamba Mimi ndiye Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
  10. Enyi Watu wa Kitabu! Amekwisha kujieni Mtume wetu anaye kufichulieni mengi mliyo kuwa mkiyaficha katika

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Al Isra with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Al Isra mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Isra Complete with high quality
Surah Al Isra Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Al Isra Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Al Isra Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Al Isra Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Al Isra Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Al Isra Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Al Isra Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Al Isra Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Al Isra Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Al Isra Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Al Isra Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Al Isra Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Al Isra Al Hosary
Al Hosary
Surah Al Isra Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Al Isra Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, December 19, 2025

Please remember us in your sincere prayers