Surah Muzammil aya 16 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَعَصَىٰ فِرْعَوْنُ الرَّسُولَ فَأَخَذْنَاهُ أَخْذًا وَبِيلًا﴾
[ المزمل: 16]
Lakini Firauni alimuasi huyo Mtume, basi tukamshika mshiko wa mateso.
Surah Al-Muzzammil in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
But Pharaoh disobeyed the messenger, so We seized him with a ruinous seizure.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Lakini Firauni alimuasi huyo Mtume, basi tukamshika mshiko wa mateso.
Firauni akamkataa huyo Mtume, basi tukamshika kwa mshiko wa nguvu!
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Akasema: Ndiye Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, na viliomo baina yao, ikiwa nyinyi ni
- Hii ndiyo Siku ya Hukumu mliyo kuwa mkiikadhibisha.
- Basi ikawadhihirikia baada ya kuona Ishara kuwa wamfunge kwa muda.
- La! Karibu watakuja jua.
- Na miongoni mwa watu wapo wanao bishana juu ya Mwenyezi Mungu bila ya ilimu, na
- Na tulipo chukua ahadi kwa Manabii na kwako wewe, na Nuhu na Ibrahim na Isa
- Basi aliwachezea watu wake, na wakamt'ii. Kwa hakika hao walikuwa watu wapotovu.
- Kisha akazielekea mbingu, na zilikuwa moshi, akaziambia hizo na ardhi: Njooni, kwa khiari au kwa
- Na hawakuzuiliwa kukubaliwa michango yao ila kwa kuwa walimkataa Mwenyezi Mungu na Mtume wake, wala
- Msiyayatike leo! Hakika nyinyi hamtanusurika nasi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muzammil with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muzammil mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muzammil Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



