Surah Insan aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّا هَدَيْنَاهُ السَّبِيلَ إِمَّا شَاكِرًا وَإِمَّا كَفُورًا﴾
[ الإنسان: 3]
Hakika Sisi tumembainishia Njia. Ama ni mwenye kushukuru, au mwenye kukufuru.
Surah Al-Insan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed, We guided him to the way, be he grateful or be he ungrateful.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika Sisi tumembainishia Njia. Ama ni mwenye kushukuru, au mwenye kukufuru.
Hakika Sisi tumembainishia Njia ya Uwongofu, ama awe Muumini au awe kafiri.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi Musa akaingia khofu nafsi yake.
- Siku zitapo tiwa moto katika Moto wa Jahannamu, na kwazo vikachomwa vipaji vya nyuso zao
- Au wao wanao miungu watao weza kuwakinga nasi? Hao hawawezi kujinusuru nafsi zao, wala hawatalindwa
- Kwa hivyo tutawatoa katika hao wale walio amini.
- Na mabustani yenye miti iliyo kamatana.
- Na naapa kwa mzazi na alicho kizaa.
- Na miongoni mwa watu wapo wanao nunua maneno ya upuuzi, ili wawapoteze watu na njia
- Na mwenzake atasema: Huyu niliye naye mimi kesha tayarishwa.
- Wakasema: Ole wetu! Tulikuwa tumeikiuka mipaka!
- Hakika kwa Mola wako Mlezi ndio marejeo.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Insan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Insan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Insan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



