Surah Insan aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Insan aya 2 in arabic text(The Human).
  
   

﴿إِنَّا خَلَقْنَا الْإِنسَانَ مِن نُّطْفَةٍ أَمْشَاجٍ نَّبْتَلِيهِ فَجَعَلْنَاهُ سَمِيعًا بَصِيرًا﴾
[ الإنسان: 2]

Hakika Sisi tumemuumba mtu kutokana na mbegu ya uhai iliyo changanyika, tumfanyie mtihani. Kwa hivyo tukamfanya mwenye kusikia, mwenye kuona.

Surah Al-Insan in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Indeed, We created man from a sperm-drop mixture that We may try him; and We made him hearing and seeing.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hakika Sisi tumemuumba mtu kutokana na mbegu ya uhai iliyo changanyika, tumfanyie mtihani. Kwa hivyo tukamfanya mwenye kusikia, mwenye kuona.


Hakika Sisi tumemuumba mwanaadamu naye ana sifa namna mbali mbali, kwa ajili ya kumtia mtihanini, majaribioni, baadaye. Kwa hivyo tukamjaalia awe anasikia na anaona, ili apate kuzisikia Aya na azione Ishara.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 2 from Insan


Ayats from Quran in Swahili

  1. Mwenyezi Mungu hakushikeni kwa viapo vyenu vya upuuzi. Bali anakushikeni kwa yanayo chuma nyoyo zenu.
  2. Hakika Mwenyezi Mungu amekunusuruni katika mapigano mengi, na siku ya Hunayni ambapo wingi wenu ulikupandisheni
  3. Na haiwi Muumini kumuuwa Muumini ila kwa kukosea. Na mwenye kumuuwa Muumini kwa kukosea basi
  4. Sema: Njooni nikusomeeni aliyo kuharimishieni Mola wenu Mlezi. Nayo ni kuwa, msimshirikishe Yeye na chochote.
  5. Mwenyezi Mungu - hapana mungu ila Yeye, Mola Mlezi wa A'rshi tukufu..
  6. Basi huyo ataomba kuteketea.
  7. Yeye anazo funguo za mbingu na ardhi. Na wale walio zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu,
  8. Enyi Watu wa Kitabu! Mbona mnabishana juu ya Ibrahim, na hali Taurati na Injili hazikuteremshwa
  9. Ili awalipe walio amini na wakatenda mema. Hao watapata msamaha na riziki ya ukarimu.
  10. Au wamepata miungu katika ardhi inayo fufua?

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Insan with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Insan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Insan Complete with high quality
Surah Insan Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Insan Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Insan Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Insan Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Insan Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Insan Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Insan Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Insan Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Insan Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Insan Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Insan Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Insan Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Insan Al Hosary
Al Hosary
Surah Insan Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Insan Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, May 16, 2025

Please remember us in your sincere prayers