Surah Infitar aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِذَا الْبِحَارُ فُجِّرَتْ﴾
[ الانفطار: 3]
Na bahari zitakapo pasuliwa,
Surah Al-Infitar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And when the seas are erupted
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na bahari zitakapo pasuliwa!
Na bahari zikafurika na kuingiliana kwa kuondoka viziwizi baina yao,
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Pale walio kufuru walipo tia katika nyoyo zao hasira, hasira za kijinga, Mwenyezi Mungu aliteremsha
- Na ni vyake Yeye hivi viendavyo baharini vilivyo undwa kama vilima.
- Isipo kuwa Mtume wake aliye mridhia. Naye huyo humwekea walinzi mbele yake na nyuma yake.
- Na ambao wanazichunga amana zao na ahadi zao,
- Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
- Hayakuwa haya ila ni ufunuo ulio funuliwa;
- Hakika vilima vya Safaa na Marwa ni katika alama za Mwenyezi Mungu. Basi anaye hiji
- Na kwa shahidi na kinacho shuhudiwa!
- Mola wangu Mlezi! Usinijaalie katika watu madhaalimu hao.
- Wanatafuta kumdanganya Mwenyezi Mungu na wale walio amini, lakini hawadanganyi ila nafsi zao; nao hawatambui.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Infitar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Infitar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Infitar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers