Surah Masad aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿تَبَّتْ يَدَا أَبِي لَهَبٍ وَتَبَّ﴾
[ المسد: 1]
Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.
Surah Al-Masad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
May the hands of Abu Lahab be ruined, and ruined is he.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.
Imeteketea mikono ya Abu Lahab iliyo kuwa ikiwaudhi Waislamu, na yeye mwenyewe amehiliki pia.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi nitakapo mkamilisha na nikampulizia roho yangu, basi mumwangukie kumsujudia.
- Na vile tulipo kuokoeni kwa watu wa Firauni walio kupeni adhabu mbaya, wakiwachinja wana wenu
- Na hapana kilicho wazuia watu kuamini ulipo wajia uwongofu na wakaomba maghfira kwa Mola wao
- Na wao husema: Mbona hakuteremshiwa Malaika? Na kama tungeli teremsha Malaika, basi bila ya shaka
- Na walio amini na wakatenda mema, bila ya shaka tutawatia miongoni mwa watu wema.
- Katika mikunazi isiyo na miba,
- Enyi mlio amini! Toeni katika tulivyo kupeni kabla haijafika Siku ambayo hapatakuwapo biashara, wala urafiki,
- Mpaka siku ya wakati maalumu.
- Enyi watu! Kumbukeni neema za Mwenyezi Mungu juu yenu. Ati yupo muumba mwengine asiye kuwa
- Wanataka kuizima Nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao, na Mwenyezi Mungu anakataa ila aitimize
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Masad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Masad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Masad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



