Surah Masad aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿تَبَّتْ يَدَا أَبِي لَهَبٍ وَتَبَّ﴾
[ المسد: 1]
Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.
Surah Al-Masad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
May the hands of Abu Lahab be ruined, and ruined is he.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.
Imeteketea mikono ya Abu Lahab iliyo kuwa ikiwaudhi Waislamu, na yeye mwenyewe amehiliki pia.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na namna hivi tumeiteremsha (Qur'ani) kuwa ni Aya zilizo wazi, na hakika Mwenyezi Mungu humwongoa
- Na Makafiri walipanga mipango na Mwenyezi Mungu akapanga mipango, na Mwenyezi Mungu ndiye mbora wa
- Anaye kufuru basi ukafiri wake utakuwa juu yake mwenyewe, na anaye tenda mema, basi wanazitengezea
- Iwe salama kwa Musa na Haruni!
- Hakika alikuwa furahani kati ya jamaa zake.
- Akasema: Yale Mola wangu aliyo niwezesha ni bora zaidi. Lakini nyinyi nisaidieni kwa nguvu zenu.
- Akasema: Sikukwambia hutaweza kuvumilia kuwa pamoja nami?
- Huenda ukajihiliki nafsi yako kwa ajili yao, kuwasikitikia kwa kuwa hawayaamini mazungumzo haya!
- Na ambao wanayaamini yaliyo teremshwa kwako, na yaliyo teremshwa kabla yako; na Akhera wana yakini
- Hakika Mwenyezi Mungu atawaingiza walio amini na wakatenda mema katika Bustani zipitazo mito kati yake.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Masad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Masad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Masad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



