Surah Muminun aya 65 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَا تَجْأَرُوا الْيَوْمَ ۖ إِنَّكُم مِّنَّا لَا تُنصَرُونَ﴾
[ المؤمنون: 65]
Msiyayatike leo! Hakika nyinyi hamtanusurika nasi.
Surah Al-Muminun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Do not cry out today. Indeed, by Us you will not be helped.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Msiyayatike leo! Hakika nyinyi hamtanusurika nasi.
Basi tunawaambia: Msiyayatike, wala msiombe msaada hivi sasa. Hamtatoka ndani ya adhabu yangu, wala kuyayatika kwenu hakufai kitu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na walitaka kukukera ili uitoke nchi. Na hapo wao wasingeli bakia humo ila kwa muda
- Na walisema: Mbona hakuteremshiwa Ishara kutoka kwa Mola wake Mlezi? Sema: Ishara ziko kwake Mwenyezi
- Na akautia giza usiku wake, na akautokeza mchana wake.
- Na Sisi tunaiona iko karibu.
- Na Mwenyezi Mungu amekufanyieni vivuli katika vitu alivyo viumba, na amekufanyieni maskani milimani, na amekufanyieni
- Na Isa bin Mariamu alipo sema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa
- Sema: Ikiwa nyumba ya Akhera iliyoko kwa Mwenyezi Mungu ni yenu tu bila ya watu
- Enyi mlio amini! Msiue wanyama wa kuwinda nanyi mmeharimia katika Hija. Na miongoni mwenu atakaye
- Kwa maji hayo vitayayushwa viliomo matumboni mwao, na ngozi zao pia.
- Hakika Jahannamu inangojea!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muminun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muminun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muminun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers