Surah Muminun aya 65 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَا تَجْأَرُوا الْيَوْمَ ۖ إِنَّكُم مِّنَّا لَا تُنصَرُونَ﴾
[ المؤمنون: 65]
Msiyayatike leo! Hakika nyinyi hamtanusurika nasi.
Surah Al-Muminun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Do not cry out today. Indeed, by Us you will not be helped.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Msiyayatike leo! Hakika nyinyi hamtanusurika nasi.
Basi tunawaambia: Msiyayatike, wala msiombe msaada hivi sasa. Hamtatoka ndani ya adhabu yangu, wala kuyayatika kwenu hakufai kitu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Nuhu akasema: Ewe Mola wangu Mlezi! Mimi najikinga kwako nisikuombe nisio na ujuzi nalo. Na
- WANAULIZANA nini?
- Akainua kimo chake, na akaitengeneza vizuri.
- Na pia kwa kufuru zao na kumsingizia kwao Maryamu uwongo mkubwa,
- Mwenye kuzishukuru neema zake, Mwenyezi Mungu. Yeye kamteuwa, na akamwongoa kwenye Njia Iliyo Nyooka.
- Naapa kwa wanao jipanga kwa safu.
- Na tukautia nguvu ufalme wake, na tukampa hikima, na kukata hukumu.
- Hutaona humo mdidimio wala muinuko.
- Waheshimiwa wa kaumu yake wanao jivuna waliwaambia wanao onewa wenye kuamini miongoni mwao: Je, mnaitakidi
- Na tukawanusuru; na wakawa wao ndio wenye kushinda.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muminun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muminun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muminun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



