Surah Yasin aya 37 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَآيَةٌ لَّهُمُ اللَّيْلُ نَسْلَخُ مِنْهُ النَّهَارَ فَإِذَا هُم مُّظْلِمُونَ﴾
[ يس: 37]
Na usiku ni Ishara kwao. Tunauvua humo mchana, mara wao wanakuwa gizani.
Surah Ya-Sin in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And a sign for them is the night. We remove from it [the light of] day, so they are [left] in darkness.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na usiku ni Ishara kwao. Tunauvua humo mchana, mara wao wanakuwa gizani.
Na Ishara pia ya kuwepo Mwenyezi Mungu na uweza wake, ni huu usiku ambao tunautoa ndani yake mchana, kama kuivua nguo inayo sitiri. Mara utaona watu wamo gizani lilio wazunguka kila upande.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Naapa kwa mchana!
- Akasema: Hakika wafalme wanapo uingia mji wanauharibu, na wanawafanya wale watukufu wake kuwa wanyonge. Na
- Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!
- Mwenyezi Mungu amezaa! Ama hakika bila ya shaka hao ni waongo!
- Hakika ukiwaacha watawapoteza waja wako, wala wao hawatazaa ila waovu makafiri.
- Na waja wangu watakapo kuuliza khabari zangu, waambie kuwa Mimi nipo karibu. Naitikia maombi ya
- Na akamwona mara nyingine,
- Na sikiliza siku atapo nadi mwenye kunadi kutoka pahala karibu.
- Wanasema: Ushindi huu ni lini, kama mnasema kweli?
- Na siku atapo waita na akasema: Mliwajibu nini Mitume?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yasin with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yasin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yasin Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



