Surah Yasin aya 37 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Yasin aya 37 in arabic text(yaseen).
  
   
ayat 37 from Surah Ya-Sin

﴿وَآيَةٌ لَّهُمُ اللَّيْلُ نَسْلَخُ مِنْهُ النَّهَارَ فَإِذَا هُم مُّظْلِمُونَ﴾
[ يس: 37]

Na usiku ni Ishara kwao. Tunauvua humo mchana, mara wao wanakuwa gizani.

Surah Ya-Sin in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And a sign for them is the night. We remove from it [the light of] day, so they are [left] in darkness.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na usiku ni Ishara kwao. Tunauvua humo mchana, mara wao wanakuwa gizani.


Na Ishara pia ya kuwepo Mwenyezi Mungu na uweza wake, ni huu usiku ambao tunautoa ndani yake mchana, kama kuivua nguo inayo sitiri. Mara utaona watu wamo gizani lilio wazunguka kila upande.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 37 from Yasin


Ayats from Quran in Swahili

  1. Mwenyezi Mungu, hapana mungu isipo kuwa Yeye. Kwa yakini atakukusanyeni Siku ya Kiyama. Halina shaka
  2. Na hakika bila ya shaka tulimpa Musa Kitabu baada ya kwisha ziangamiza kaumu za mwanzo,
  3. Na waulize Mitume wetu tulio watuma kabla yako: Je! Tulifanya miungu mingine iabudiwe badala ya
  4. Je! Hawaoni ya kwamba wanatiwa mtihanini kila mwaka mara moja au mara mbili? Kisha hawatubu,
  5. Ambaye amekufanyieni ardhi kama tandiko, na akakufanyieni ndani yake njia mpate kuongoka.
  6. Ipo njia ya kuwalaumu wale wanao kuomba ruhusa wasende vitani na hali wao ni matajiri.
  7. Kisha Mwenyezi Mungu akateremsha utulivu wake juu ya Mtume wake na juu ya Waumini. Na
  8. Hakika humo hutakuwa na njaa wala hutakuwa uchi.
  9. Na mnapo amkiwa kwa maamkio yoyote, basi nanyi itikieni kwa yaliyo bora kuliko hayo, au
  10. Hakika Mwenyezi Mungu huwakinga walio amini. Hakika Mwenyezi Mungu hampendi kila khaini mwingi wa kukanya

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Yasin with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Yasin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yasin Complete with high quality
Surah Yasin Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Yasin Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Yasin Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Yasin Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Yasin Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Yasin Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Yasin Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Yasin Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Yasin Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Yasin Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Yasin Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Yasin Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Yasin Al Hosary
Al Hosary
Surah Yasin Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Yasin Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, July 14, 2025

Please remember us in your sincere prayers