Surah Al-Haqqah aya 37 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَّا يَأْكُلُهُ إِلَّا الْخَاطِئُونَ﴾
[ الحاقة: 37]
Chakula hicho hawakili ila wakosefu.
Surah Al-Haqqah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
None will eat it except the sinners.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Chakula hicho hawakili ila wakosefu.
Hawakili chakula hicho ila wakosefu walio kusudia kufanya maasi yao, na wakakamia kuendelea nayo.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na hatukuwaonyesha Ishara yoyote ila hiyo ilikuwa kubwa zaidi kuliko nyenginewe. Na tukawakamata kwa adhabu
- Ameziumba mbingu bila ya nguzo mnazo ziona; na ameweka katika ardhi milima ili ardhi isikuyumbisheni;
- Na nini kitakujuvya ni nini njia ya vikwazo vya milimani?
- Inaongoza kwenye uwongofu, kwa hivyo tumeiamini, wala hatutamshirikisha yeyote na Mola wetu Mlezi.
- Na wasomee khabari za wana wawili wa Adam kwa kweli. Walipo toa mhanga, ukakubaliwa wa
- Na waepushe na maovu; kwani umwepushaye maovu siku hiyo, hakika umemrehemu; na huko ndiko kufuzu
- Basi hakika mimi hapo nitakuwa katika upotovu ulio dhaahiri.
- Hakika yeye ni katika waja wetu walio amini.
- Waachilie Wana wa Israili wende nasi.
- Basi walimkanusha. Nasi tukamwokoa yeye na walio kuwa pamoja naye katika jahazi. Na tukawazamisha wale
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al-Haqqah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al-Haqqah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al-Haqqah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers