Surah Al-Haqqah aya 37 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَّا يَأْكُلُهُ إِلَّا الْخَاطِئُونَ﴾
[ الحاقة: 37]
Chakula hicho hawakili ila wakosefu.
Surah Al-Haqqah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
None will eat it except the sinners.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Chakula hicho hawakili ila wakosefu.
Hawakili chakula hicho ila wakosefu walio kusudia kufanya maasi yao, na wakakamia kuendelea nayo.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Anaye kadhibisha na kupa mgongo.
- Basi siku hiyo hataadhibu yeyote namna ya kuadhibu kwake.
- Hasha! Kwa hakika huu ni ukumbusho!
- Hakika miongoni mwa Watu wa Kitabu wapo wanao muamini Mwenyezi Mungu na yaliyo teremshwa kwenu
- Chemchem watakayo inywa walio kurubishwa.
- Na wakaazi wa Machakani, na watu wa Tubbaa'. Wote hao waliwakanusha Mitume, kwa hivyo onyo
- Na badala ya kushukuru kwa riziki yenu mnafanya kuwa mnakadhibisha?
- Lakini tukiwaondolea adhabu mpaka muda fulani wao waufikie, mara wakivunja ahadi yao.
- Yeye ndiye Mwenye kujua ya siri, wala hamdhihirishii yeyote siri yake,
- Na laiti ungeli ona Malaika wanapo wafisha wale walio kufuru wakiwapiga nyuso zao na migongo
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al-Haqqah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al-Haqqah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al-Haqqah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



