Surah Waqiah aya 69 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Waqiah aya 69 in arabic text(The Inevitable, The Event).
  
   

﴿أَأَنتُمْ أَنزَلْتُمُوهُ مِنَ الْمُزْنِ أَمْ نَحْنُ الْمُنزِلُونَ﴾
[ الواقعة: 69]

Je! Ni nyinyi mnayo yateremsha kutoka mawinguni au ni Sisi ndio wenye kuyateremsha?

Surah Al-Waqiah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Is it you who brought it down from the clouds, or is it We who bring it down?


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Je! Ni nyinyi mnayo yateremsha kutoka mawinguni au ni Sisi ndio wenye kuyateremsha?


Ni nyinyi mnayo yateremsha kutoka mawinguni, au ni Sisi ndio Wenye kuyateremsha kuwa ni rehema juu yenu? Katika Kiarabu limetajwa neno Almuzni. Maana yake ni mawingu yanayo leta mvua. Na kitendo cha kunyesha mvua kinahitajia mambo yaliyo khusiana na hali ya hewa maalumu ambayo mwanaadamu hana mamlaka nayo, au kuyaleta kwa juhudi zake. Kwa mfano zinahitajiwa pepo zinazo kwenda kwa mkondo zilizo baridi juu ya nyengine zilizo za joto, au hali za kuondoka utulivu katika anga. Na watu wamejaribu kuinyesha mvua kwa mawingu yanayo pita kwa njia ya ufundi, lakini juhudi hizo mpaka sasa ni majaribio, na lilio thibiti katika sayansi ni kufuzu kwa majaribio hayo ni kudogo mno, na hata hivyo kunalazimu ziwepo hali maalumu za maumbile zinazo saidia.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 69 from Waqiah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na Mayahudi tuliwaharimishia yale tuliyo kuhadithia zamani. Na Sisi hatukuwadhulumu, bali walikuwa wakijudhulumu wenyewe.
  2. Kila umma tumewajaalia na ibada zao wanazo zishika. Basi wasizozane nawe katika jambo hili. Na
  3. Walio sema: Mwenyezi Mungu ametuahidi tusimuamini Mtume yeyote mpaka atuletee kafara inayo teketezwa na moto.
  4. Na kwa yakini tutawauliza wale walio pelekewa Ujumbe, na pia tutawauliza hao Wajumbe.
  5. Yeye humchagua kumpa rehema zake amtakaye; na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye fadhila kubwa.
  6. Hao makao yao ni Jahannamu, na wala hawapati makimbilio kutoka humo.
  7. Enyi mlio amini! Mt'iini Mwenyezi Mungu, na mt'iini Mtume, wala msiviharibu vitendo vyenu.
  8. Na (mtu kama huyo) anapo somewa Aya zetu huzipa mgongo kwa kujivuna, kama kwamba hakuzisikia,
  9. Je! Mnawaamrisha watu mema na mnajisahau nafsi zenu, na hali nyinyi mnasoma Kitabu? Basi je,
  10. Naam, anaye chuma ubaya - na makosa yake yakamzunguka - hao ndio watu wa Motoni;

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Waqiah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Waqiah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Waqiah Complete with high quality
Surah Waqiah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Waqiah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Waqiah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Waqiah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Waqiah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Waqiah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Waqiah Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Waqiah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Waqiah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Waqiah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Waqiah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Waqiah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Waqiah Al Hosary
Al Hosary
Surah Waqiah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Waqiah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, August 22, 2025

Please remember us in your sincere prayers