Surah Ahzab aya 40 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ahzab aya 40 in arabic text(Confederates - The Combined Forces).
  
   

﴿مَّا كَانَ مُحَمَّدٌ أَبَا أَحَدٍ مِّن رِّجَالِكُمْ وَلَٰكِن رَّسُولَ اللَّهِ وَخَاتَمَ النَّبِيِّينَ ۗ وَكَانَ اللَّهُ بِكُلِّ شَيْءٍ عَلِيمًا
[ الأحزاب: 40]

Muhammad si baba wa yeyote katika wanaume wenu, bali ni Mtume wa Mwenyezi Mungu na Mwisho wa Manabii, na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa kila kitu.

Surah Al-Ahzab in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Muhammad is not the father of [any] one of your men, but [he is] the Messenger of Allah and last of the prophets. And ever is Allah, of all things, Knowing.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Muhammad si baba wa yeyote katika wanaume wenu, bali ni Mtume wa Mwenyezi Mungu na Mwisho wa Manabii, na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa kila kitu.


Muhammad si baba wa yeyote katika wanaume wenu hata iwe ni haramu kwake kumwoa mtalaka wake. Lakini yeye ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, na ni Mwenye kukhitimisha Manabii wote. Juu yake ni kufikilisha ujumbe kama alivyo muamrisha Mola wake Mlezi, bila ya kumchelea yeyote. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuvizunguka vitu vyote kwa ujuzi wake.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 40 from Ahzab


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na Waumini wanasema: Kwa nini haiteremshwi Sura? Na inapo teremshwa Sura madhubuti na ikatajwa ndani
  2. Je! Kwani hayakuwatosha ya kwamba tumekuteremshia Kitabu hiki wanacho somewa? Hakika katika hayo zipo rehema
  3. Je! Mmemuona Lata na Uzza?
  4. Enyi mlio amini! Mnapo safiri katika Njia ya Mwenyezi Mungu basi hakikisheni, wala msimwambie anaye
  5. Alipo uona moto, akawaambia watu wake: Ngojeni! Mimi nimeuona moto, huenda nikakuleteeni kijinga kutoka huo
  6. Na hakika nyinyi mnawapitia wakati wa asubuhi,
  7. Enyi mlio amini! Mt'iini Mwenyezi Mungu, na mt'iini Mtume, wala msiviharibu vitendo vyenu.
  8. Wakasema waheshimiwa wa kaumu ya Firauni: Hakika huyo ni mchawi mjuzi.
  9. Na hakika tulimpa Musa Kitabu na tukamweka pamoja naye nduguye, Harun, kuwa waziri.
  10. Enyi mlio amini! Timizeni ahadi. Mmehalalishiwa wanyama wa mifugo, ila wale mnao tajiwa. Lakini msihalalishe

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ahzab with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ahzab mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ahzab Complete with high quality
Surah Ahzab Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ahzab Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ahzab Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ahzab Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ahzab Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ahzab Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ahzab Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Ahzab Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ahzab Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ahzab Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ahzab Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ahzab Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ahzab Al Hosary
Al Hosary
Surah Ahzab Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ahzab Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, December 1, 2025

Please remember us in your sincere prayers