Surah Najm aya 40 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأَنَّ سَعْيَهُ سَوْفَ يُرَىٰ﴾
[ النجم: 40]
Na kwamba vitendo vyake vitaonekana?
Surah An-Najm in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And that his effort is going to be seen -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na kwamba vitendo vyake vitaonekana?
Na kwamba vitendo vyake vitakuja tangazwa, na ataviona Siku ya Kiyama, iwe ni kumtukuza mtenda mema, na kumkebehi mtenda maovu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- La mbingu wala ardhi hazikuwalilia, wala hawakupewa muhula.
- Na (waonye) siku tutakapo wainua mashahidi katika kila umma wakiwashuhudia kwa yanayo tokana na wao,
- Na ingawa kabla ya kuteremshiwa walikuwa wenye kukata tamaa.
- Na yakakusanywa yaliomo vifuani?
- Mola wetu Mlezi! Wape wao adhabu mara mbili, na uwalaani laana kubwa.
- Na Mwenyezi Mungu ana majina mazuri kabisa, basi muombeni kwa hayo. Na waacheni wale wanao
- Macho yao yatainama chini, fedheha itawafunika. Na hakika walikuwa wakiitwa wasujudu walipo kuwa wazima -
- Na kama wakigeuka basi Mwenyezi Mungu anawajua waharibifu.
- Na walipo juta na wakaona ya kwamba wamekwisha potea, walisema: Ikiwa Mola wetu Mlezi hakuturehemu
- Hata watakapo fika, atasema (Mwenyezi Mungu): Je! Nyinyi si mlizikanusha Ishara zangu pasipo kuzijua vyema?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Najm with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Najm mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Najm Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers