Surah Assaaffat aya 140 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Assaaffat aya 140 in arabic text(Those Who Set The Ranks).
  
   

﴿إِذْ أَبَقَ إِلَى الْفُلْكِ الْمَشْحُونِ﴾
[ الصافات: 140]

Alipo kimbia katika jahazi lilio sheheni.

Surah As-Saaffat in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


[Mention] when he ran away to the laden ship.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Alipo kimbia katika jahazi lilio sheheni.


Alipo wahama watu wake bila ya amri ya Mola wake Mlezi, akaliendea jahazi ambalo lilio kwisha sheheni pomoni, akalipanda. Jahazi likapatikana na mambo ikawajibikia lazima mmoja katika abiria atoswe kupunguza shehena yake. Kura ikamuangukia Yunus, akashindwa kwa kura. Akatoswa baharini kwa mujibu wa ada yao zama zile.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 140 from Assaaffat


Ayats from Quran in Swahili

  1. Basi msiregee na kutaka suluhu, maana nyinyi ndio mtakao shinda. Na Mwenyezi Mungu yu pamoja
  2. Sema: Enyi waja wangu mlio amini! Mcheni Mola wenu Mlezi. Wale wafanyao wema katika dunia
  3. Wanapenda lau kuwa nanyi mnge kufuru kama walivyo kufuru wao, ili muwe sawa sawa. Basi
  4. Basi walipo liona wingu likielekea kwenye mabonde yao, walisema: Wingu hili la kutunyeshea mvua! Kumbe
  5. Mitume hao ni wabashiri na waonyaji, ili watu wasiwe na hoja juu ya Mwenyezi Mungu
  6. Akasema: Hakika mimi namshitakia Mwenyezi Mungu sikitiko langu na huzuni yangu. Na ninajua kwa Mwenyezi
  7. Ni kama kwamba wao siku watapo iona (hiyo Saa) hawakukaa ila jioni moja tu, au
  8. Sema: Yeye ndiye aliye kuumbeni tangu mwanzo, na akakupeni masikio na macho, na nyoyo. Ni
  9. Na shika kicha cha vijiti tu mkononi mwako, kisha ndio upigie nacho, wala usivunje kiapo.
  10. Itakapo tetemeshwa ardhi kwa mtetemeko wake!

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Surah Assaaffat Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Assaaffat Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Assaaffat Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Assaaffat Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Assaaffat Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Assaaffat Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Assaaffat Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Assaaffat Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Assaaffat Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Assaaffat Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Assaaffat Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Assaaffat Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Assaaffat Al Hosary
Al Hosary
Surah Assaaffat Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Assaaffat Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, August 4, 2025

Please remember us in your sincere prayers