Surah Assaaffat aya 140 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Assaaffat aya 140 in arabic text(Those Who Set The Ranks).
  
   

﴿إِذْ أَبَقَ إِلَى الْفُلْكِ الْمَشْحُونِ﴾
[ الصافات: 140]

Alipo kimbia katika jahazi lilio sheheni.

Surah As-Saaffat in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


[Mention] when he ran away to the laden ship.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Alipo kimbia katika jahazi lilio sheheni.


Alipo wahama watu wake bila ya amri ya Mola wake Mlezi, akaliendea jahazi ambalo lilio kwisha sheheni pomoni, akalipanda. Jahazi likapatikana na mambo ikawajibikia lazima mmoja katika abiria atoswe kupunguza shehena yake. Kura ikamuangukia Yunus, akashindwa kwa kura. Akatoswa baharini kwa mujibu wa ada yao zama zile.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 140 from Assaaffat


Ayats from Quran in Swahili

  1. Ambao wanamkhofu Mola wao Mlezi faraghani, na wanaiogopa Saa ya Kiyama.
  2. Na bila ya shaka tutakujaribuni mpaka tuwadhihirishe wapignao Jihadi katika nyinyi na wanao subiri. Nasi
  3. Kwani! Sisi tunaweza hata kuziweka sawa sawa ncha za vidole vyake!
  4. Sema: Mola Mlezi wangu ameamrisha uadilifu, na mumuelekeze nyuso zenu kila mnapo sujudu, na muombeni
  5. Wakasema: Wallahi! Mwenyezi Mungu amekufadhilisha wewe kuliko sisi, na hakika sisi tulikuwa wenye kukosa.
  6. Sema: Lau kuwa ninacho hicho mnacho kihimiza, ingeli kwisha katwa shauri baina yangu na nyinyi.
  7. Kwani hakika hao ni adui zangu, isipo kuwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
  8. Nendeni kwenye adhabu mliyo kuwa mkiikanusha!
  9. Nasi tukamwokoa yeye na wenziwe wa katika safina, na tukaifanya kuwa ni Ishara kwa walimwengu
  10. Tena awe miongoni mwa walio amini na wakausiana kusubiri na wakausiana kuhurumiana.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Surah Assaaffat Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Assaaffat Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Assaaffat Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Assaaffat Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Assaaffat Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Assaaffat Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Assaaffat Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Assaaffat Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Assaaffat Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Assaaffat Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Assaaffat Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Assaaffat Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Assaaffat Al Hosary
Al Hosary
Surah Assaaffat Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Assaaffat Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, April 24, 2025

Please remember us in your sincere prayers