Surah Hijr aya 44 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَهَا سَبْعَةُ أَبْوَابٍ لِّكُلِّ بَابٍ مِّنْهُمْ جُزْءٌ مَّقْسُومٌ﴾
[ الحجر: 44]
Ina milango saba; na kwa kila mlango iko sehemu walio tengewa.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
It has seven gates; for every gate is of them a portion designated."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ina milango saba; na kwa kila mlango iko sehemu walio tengewa.
Wala huo Moto mkali hauna mlango mmoja tu, bali una milango saba kwa ajili ya wingi wanao stahiki kuingia humo. Na kila mlango una kundi lake makhsusi. Na kila kundi una cheo chake maalumu cha kulingana na uovu wake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi mcheni Mwenyezi Mungu na nit'iini mimi.
- Na ambaye ndiye ananilisha na kuninywesha.
- Au tumewaumba Malaika kuwa ni wanawake, na wao wakashuhudia?
- Kama kwamba wao ni mapunda walio timuliwa,
- Na ngamia wenye mimba pevu watakapo achwa wasishughulikiwe,
- Basi atachungulia amwone katikati ya Jahannamu.
- Mwenyezi Mungu, na Malaika, na wenye ilimu, wameshuhudia kuwa hakika hapana mungu ila Yeye, ndiye
- Haufiki msiba wowote ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na mwenye kumuamini Mwenyezi Mungu huuongoa
- Mali yangu hayakunifaa kitu.
- BASI NI NANI dhaalimu mkubwa kuliko yule aliye msingizia uwongo Mwenyezi Mungu na kuikanusha kweli
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers