Surah Shuara aya 202 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَيَأْتِيَهُم بَغْتَةً وَهُمْ لَا يَشْعُرُونَ﴾
[ الشعراء: 202]
Basi itawafikia kwa ghafla, na hali hawana khabari.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And it will come to them suddenly while they perceive [it] not.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi itawafikia kwa ghafla, na hali hawana khabari.
Itawateremkia adhabu kwa ghafla bila ya kuitaraji, wala wao hawajui kama inakuja.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Sema: Hao wanao mzulia uwongo Mwenyezi Mungu hawatafanikiwa.
- Lakini walio dhulumu waliibadili kauli isiyo kuwa waliyo ambiwa. Kwa hivyo tukaiteremsha juu ya wale
- Hawayaamini haya, na hali ya kuwa umekwisha wapitia mfano wa watu wa kale.
- Na badala ya kushukuru kwa riziki yenu mnafanya kuwa mnakadhibisha?
- Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi,
- Wakaja kwa baba yao usiku wakilia.
- Ambao wanajiepusha na madhambi makuu na vitendo vichafu, isipo kuwa makosa khafifu. Hakika Mola wako
- Wale watukufu katika kaumu yake wakasema: Hakika sisi tunakuona wewe umo katika upotofu ulio dhaahiri.
- Kuwabadili kwa walio bora kuliko wao; na Sisi hatushindwi.
- Wala hawatakuwa na walinzi wa kuwanusuru mbele ya Mwenyezi Mungu. Na ambaye Mwenyezi Mungu amemwacha
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



