Surah zariyat aya 52 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah zariyat aya 52 in arabic text(The Wind That Scatter).
  
   

﴿كَذَٰلِكَ مَا أَتَى الَّذِينَ مِن قَبْلِهِم مِّن رَّسُولٍ إِلَّا قَالُوا سَاحِرٌ أَوْ مَجْنُونٌ﴾
[ الذاريات: 52]

Basi ndio hivyo hivyo, hakuwajia kabla yao Mtume ila walisema: Huyu ni mchawi au mwendawazimu.

Surah Adh-Dhariyat in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Similarly, there came not to those before them any messenger except that they said, "A magician or a madman."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Basi ndio hivyo hivyo, hakuwajia kabla yao Mtume ila walisema: Huyu ni mchawi au mwendawazimu.


Hivyo ndivyo ilivyo kuwa hali ya mataifa yote kwa Mitume wao. Hakuja Mtume kwa watu wa kabla ya kaumu yako ila walimwita: Mchawi au mwendawazimu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 52 from zariyat


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na shika Sala katika ncha mbili za mchana na nyakati za usiku zilizo karibu na
  2. Hakika Sisi tulimtuma Nuh'u kwa watu wake: Uwaonye kaumu yako kabla ya kuwafikia adhabu chungu.
  3. Msikimbie! Na rejeeni kwenye zile zile starehe zenu, na maskani zenu, mpate kusailiwa!
  4. Haimpasii Nabii na wale walio amini kuwatakia msamaha washirikina, ijapo kuwa ni jamaa zao, baada
  5. Basi mfikieni Firauni na mwambieni: Hakika sisi ni Mitume wa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
  6. Na hakika walikwisha muahidi Mwenyezi Mungu kabla yake kwamba hawatageuza migongo yao. Na ahadi ya
  7. Kwa mfano wa haya nawatende watendao.
  8. Huwaoni wale walio pewa sehemu ya Kitabu? Wanaitwa kukiendea Kitabu cha Mwenyezi Mungu ili kiwahukumu
  9. Na wakijitoma kati ya kundi,
  10. Na wapeni wanawake mahari yao hali ya kuwa ni kipawa. Lakini wakikutunukieni kitu katika mahari,

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah zariyat with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah zariyat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter zariyat Complete with high quality
Surah zariyat Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah zariyat Bandar Balila
Bandar Balila
Surah zariyat Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah zariyat Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah zariyat Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah zariyat Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah zariyat Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah zariyat Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah zariyat Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah zariyat Fares Abbad
Fares Abbad
Surah zariyat Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah zariyat Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah zariyat Al Hosary
Al Hosary
Surah zariyat Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah zariyat Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, December 19, 2025

Please remember us in your sincere prayers