Surah zariyat aya 52 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah zariyat aya 52 in arabic text(The Wind That Scatter).
  
   

﴿كَذَٰلِكَ مَا أَتَى الَّذِينَ مِن قَبْلِهِم مِّن رَّسُولٍ إِلَّا قَالُوا سَاحِرٌ أَوْ مَجْنُونٌ﴾
[ الذاريات: 52]

Basi ndio hivyo hivyo, hakuwajia kabla yao Mtume ila walisema: Huyu ni mchawi au mwendawazimu.

Surah Adh-Dhariyat in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Similarly, there came not to those before them any messenger except that they said, "A magician or a madman."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Basi ndio hivyo hivyo, hakuwajia kabla yao Mtume ila walisema: Huyu ni mchawi au mwendawazimu.


Hivyo ndivyo ilivyo kuwa hali ya mataifa yote kwa Mitume wao. Hakuja Mtume kwa watu wa kabla ya kaumu yako ila walimwita: Mchawi au mwendawazimu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 52 from zariyat


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na hakika tulikwisha wapigia watu kila mfano katika hii Qur'ani. Na ukiwaletea Ishara yoyote hapana
  2. Ati anadhani ya kuwa hapana yeyote anaye mwona?
  3. Wakasema: Haidhuru, kwani sisi ni wenye kurejea kwa Mola wetu Mlezi.
  4. Watapeana humo bilauri zisio na vinywaji vya kuleta maneno ya upuuzi wala dhambi.
  5. Mola wetu Mlezi! Tumeyaamini uliyo yateremsha, na tumemfuata huyu Mtume, basi tuandike pamoja na wanao
  6. Na ilipo waangukia adhabu wakasema: Ewe Musa! Tuombee kwa Mola wako Mlezi kwa aliyo kuahidi.
  7. Basi nawacheke kidogo; watalia sana. Hayo ni malipo ya yale waliyo kuwa wakiyachuma.
  8. Na kwa yakini tulimpa Musa Kitabu; zikazuka khitilafu ndani yake. Na lau kuwa si neno
  9. Mbele yangu haibadilishwi kauli, wala Mimi siwadhulumu waja wangu.
  10. Na katika umbo lenu na katika wanyama alio watawanya zimo Ishara kwa watu wenye yakini.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah zariyat with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah zariyat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter zariyat Complete with high quality
Surah zariyat Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah zariyat Bandar Balila
Bandar Balila
Surah zariyat Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah zariyat Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah zariyat Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah zariyat Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah zariyat Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah zariyat Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah zariyat Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah zariyat Fares Abbad
Fares Abbad
Surah zariyat Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah zariyat Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah zariyat Al Hosary
Al Hosary
Surah zariyat Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah zariyat Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, April 4, 2026

Please remember us in your sincere prayers