Surah Yusuf aya 56 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Yusuf aya 56 in arabic text(Joseph).
  
   
ayat 56 from Surah Yusuf

﴿وَكَذَٰلِكَ مَكَّنَّا لِيُوسُفَ فِي الْأَرْضِ يَتَبَوَّأُ مِنْهَا حَيْثُ يَشَاءُ ۚ نُصِيبُ بِرَحْمَتِنَا مَن نَّشَاءُ ۖ وَلَا نُضِيعُ أَجْرَ الْمُحْسِنِينَ
[ يوسف: 56]

Basi namna hivi tukampa Yusuf cheo katika nchi; anakaa humo popote anapo penda. Tunamfikishia rehema zetu tumtakaye, wala hatupuuzi malipo ya wafanyao mema.

Surah Yusuf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And thus We established Joseph in the land to settle therein wherever he willed. We touch with Our mercy whom We will, and We do not allow to be lost the reward of those who do good.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Basi namna hivi tukampa Yusuf cheo katika nchi; anakaa humo popote anapo penda. Tunamfikishia rehema zetu tumtakaye, wala hatupuuzi malipo ya wafanyao mema.


Mfalme alilikubali ombi lake, akamfanya waziri wake. Hivyo basi Mwenyezi Mungu alimneemesha Yusuf kwa neema nzuri, akampa madaraka na uwezo katika nchi ya Misri, akienda humo atakapo. Na hii ndiyo shani yake Mwenyezi Mungu kwa waja wake, humpa neema yake amtakaye katika wao, wala hawanyimi thawabu zao, bali huwapa ujira wao wa wema wautendao kwa kuwalipa mema hapa hapa duniani.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 56 from Yusuf


Ayats from Quran in Swahili

  1. Humo hayatawagusa machofu, wala hawatatolewa humo.
  2. Na tulikuwa tukizama pamoja na walio zama katika maovu.
  3. Basi wawili hao wakatoka, hata walipo panda jahazi (yule mtu) akaitoboa. (Musa) akasema: Unaitoboa uwazamishe
  4. Tulifanya agano na Wana wa Israili, na tukawatumia Mitume. Kila alipo wajia Mtume kwa wasio
  5. Akasema: Enyi watu wangu! Mimi simo katika upotofu, lakini mimi ni Mtume nitokaye kwa Mola
  6. Na hivi ndivyo tutakavyo mlipa kila apitaye kiasi, na asiye amini ishara za Mola wake
  7. Akasema: Bali tupeni nyinyi! Tahamaki kamba zao na fimbo zao zikaonekana mbele yake, kwa uchawi
  8. Na wale ambao mizani zao zitakuwa nyepesi, hao ndio walio zitia khasarani nafsi zao, na
  9. Basi akayavunja vipande vipande, ila kubwa lao, ili wao walirudie.
  10. Kwani mwanaadamu haoni ya kwamba Sisi tumemuumba yeye kutokana na tone la manii? Kisha sasa

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Yusuf with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Yusuf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yusuf Complete with high quality
Surah Yusuf Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Yusuf Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Yusuf Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Yusuf Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Yusuf Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Yusuf Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Yusuf Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Yusuf Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Yusuf Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Yusuf Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Yusuf Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Yusuf Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Yusuf Al Hosary
Al Hosary
Surah Yusuf Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Yusuf Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, May 12, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب