Surah Yusuf aya 57 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَأَجْرُ الْآخِرَةِ خَيْرٌ لِّلَّذِينَ آمَنُوا وَكَانُوا يَتَّقُونَ﴾
[ يوسف: 57]
Na hakika malipo ya Akhera ni bora zaidi, kwa walio amini na wakawa wachamngu.
Surah Yusuf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And the reward of the Hereafter is better for those who believed and were fearing Allah.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na hakika malipo ya Akhera ni bora zaidi, kwa walio amini na wakawa wachamungu.
Na malipo yao ya Akhera ni bora zaidi na yanalingana zaidi na hao wanao msadiki Yeye na Mitume wake, na ikawa wanaingojea Siku ya Hisabu na wanaikhofu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na akaweka humo milima juu yake, na akabarikia humo na akakadiria humo chakula chake katika
- Ambao walifanya jeuri katika nchi?
- Na ardhi tumeitandaza; basi watandazaji wazuri namna gani Sisi!
- Na walio kufuru na wakakadhibisha Ishara zetu, hao ni watu wa Motoni, watadumu humo milele.
- Lakini nyoyo zao zimeghafilika na hayo, na wanavyo vitendo vinginevyo wanavyo vifanya.
- Vipi mnamkanusha Mwenyezi Mungu na hali mlikuwa wafu akakufufueni! Kisha atakufisheni, tena atakufufueni, kisha kwake
- Au anaamrisha uchamngu?
- Na Firauni na walio mtangulia, na miji iliyo pinduliwa chini juu, walileta khatia.
- Na kama ingeli kuwako Qur'ani ndiyo inayo endeshewa milima, na kupasuliwa ardhi, na kusemeshewa wafu,
- Ole wao hao wapunjao!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yusuf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yusuf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yusuf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



