Surah Waqiah aya 70 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَوْ نَشَاءُ جَعَلْنَاهُ أُجَاجًا فَلَوْلَا تَشْكُرُونَ﴾
[ الواقعة: 70]
Tungeli penda tungeli yafanya ya chumvi. Basi mbona hamshukuru?
Surah Al-Waqiah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
If We willed, We could make it bitter, so why are you not grateful?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Tungeli penda tungeli yafanya ya chumvi. Basi mbona hamshukuru?
Lau tungeli taka tungeli yafanya hayo maji yakawa ya chumvi yasiyo nyweka. Basi mbona hamumshukuru Mwenyezi Mungu aliye yajaalia matamu yenye kunyweka?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wanatamani lau unge lainisha ili nao wakulainishie.
- Akasema: Miadi yenu ni siku ya Sikukuu; na watu wakusanywe kabla ya adhuhuri.
- MWENYEZI MUNGU huzipokea roho zinapo kufa. Na zile zisio kufa wakati wa kulala kwake, huzishika
- Na akaja Mola wako Mlezi na Malaika safu safu,
- Na kwa ajili yao yatakuwapo marungu ya chuma.
- Na watakapo tupwa humo mahali dhiki, hali wamefungwa, wataomba wafe.
- Je! Nyinyi mnao wana wanaume na Yeye ndio awe na wanawake?
- Kila wakitaka kutoka humo kwa sababu ya uchungu watarudishwa humo humo, na wataambiwa: Onjeni adhabu
- Na walio Motoni watawaambia walinzi wa Jahannamu: Mwombeni Mola wenu Mlezi atupunguzie walau siku moja
- Hao ndio watakao hishimiwa Peponi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Waqiah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Waqiah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Waqiah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers