Surah Kahf aya 73 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالَ لَا تُؤَاخِذْنِي بِمَا نَسِيتُ وَلَا تُرْهِقْنِي مِنْ أَمْرِي عُسْرًا﴾
[ الكهف: 73]
(Musa) akasema: Usinichukulie kwa niliyo sahau, wala usinipe uzito kwa jambo langu.
Surah Al-Kahf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[Moses] said, "Do not blame me for what I forgot and do not cover me in my matter with difficulty."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
(Musa) akasema: Usinichukulie kwa niliyo sahau, wala usinipe uzito kwa jambo langu.
Musa akamwambia: Usinichukulie kwa kusahau wasia wako, wala usinikutishe Mashaka katika kutafuta ilimu kwako na ukaifanya hiyo kazi nzito
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Akasema msemaji kati yao: Msimuuwe Yusuf. Lakini mtumbukizeni ndani ya kisima. Wasafiri watakuja mwokota; kama
- Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.
- Na wanayaabudu badala ya Mwenyezi Mungu yasiyo wafaa wala yasiyo wadhuru. Na kafiri daima ni
- Kitabu kilicho andikwa.
- Sema: Kwa hakika Mola wangu Mlezi humkunjulia riziki na humdhikisha amtakaye katika waja wake. Na
- Wakamkadhibisha. Basi kwa hakika watahudhurishwa;
- Akasema: Utakuwa miongoni mwa walio pewa muhula.
- Na hakika tulikwisha watuma Mitume kwa kaumu zao, na wakawajia kwa hoja zilizo wazi. Tukawaadhibu
- Wale tulio wapa Kitabu kabla yake wanakiamini hiki.
- Na walio dhulumu watakapo iona adhabu hawatapunguziwa hiyo adhabu, wala hawatapewa muhula.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Kahf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Kahf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Kahf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers