Surah Shuara aya 74 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالُوا بَلْ وَجَدْنَا آبَاءَنَا كَذَٰلِكَ يَفْعَلُونَ﴾
[ الشعراء: 74]
Wakasema: Bali tumewakuta baba zetu wakifanya hivyo hivyo.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They said, "But we found our fathers doing thus."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wakasema: Bali tumewakuta baba zetu wakifanya hivyo hivyo.
Wakasema: Hawafanyi lolote katika hayo. Lakini sisi tumewakuta baba zetu wakiyaabudu mfano wa ibada yetu. Basi sisi tukawafwata kwa waliyo kuwa wakiyafanya.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hatamki neno ila karibu yake yupo mwangalizi tayari.
- Na wakikukanusha wewe, sema: Mimi nina a'mali yangu, na nyinyi mna a'mali yenu. Nyinyi hamna
- Akasema: Ewe Mola wangu Mlezi! Vipi nitakuwa na mwana na hali mke wangu ni tasa,
- Hasha! Kwani hakika yeye alikuwa akizifanyia inadi Aya zetu!
- Kisha akatazama,
- Wakasema: Mchomeni moto, na muinusuru miungu yenu, ikiwa nyinyi ni watendao jambo!
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Na tukauotesha juu yake mmea wa kabila ya mung'unye.
- Na Mwenyezi Mungu akunusuru nusura yenye nguvu -
- Ni vyake viliomo mbinguni na viliomo katika ardhi. Na hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujitosha
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers