Surah Muminun aya 79 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَهُوَ الَّذِي ذَرَأَكُمْ فِي الْأَرْضِ وَإِلَيْهِ تُحْشَرُونَ﴾
[ المؤمنون: 79]
Na Yeye ndiye aliye kuenezeni katika ardhi, na kwake Yeye mtakusanywa.
Surah Al-Muminun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And it is He who has multiplied you throughout the earth, and to Him you will be gathered.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na Yeye ndiye aliye kuenezeni katika ardhi, na kwake Yeye mtakusanywa.
Na Yeye ndiye aliye kuumbeni duniani, na kwake Yeye peke yake ndio mtarejeshwa Siku ya Kiyama kwa ajili ya malipo.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika siku ya uamuzi imewekewa wakati wake,
- Na mbingu jinsi ilivyo inuliwa?
- Akasema: Afriti, katika majini: Mimi nitakuletea kabla hujainuka pahala pako hapo. Na mimi kwa hakika
- Na tulikuwa tukiikanusha siku ya malipo.
- Awe anayagugumia, wala hawezi kuyameza. Na mauti yawe yanamjia kutoka kila upande, naye wala hafi.
- Basi wabashirie adhabu chungu!
- Naye atazungumza na watu katika utoto wake na katika utuuzima wake, na atakuwa katika watu
- Amemuumba binaadamu kwa tone la damu,
- Lau kama wangeli pata pa kukimbilia au mapango au pahala pa kuingia basi wangeli fyatuka
- Na Firauni akasema: Ewe Hamana! Nijengee mnara ili nipate kuzifikia njia,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muminun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muminun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muminun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



