Surah Tariq aya 7 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Tariq aya 7 in arabic text(The Night-Visitant).
  
   

﴿يَخْرُجُ مِن بَيْنِ الصُّلْبِ وَالتَّرَائِبِ﴾
[ الطارق: 7]

Yatokayo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu.

Surah At-Tariq in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Emerging from between the backbone and the ribs.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Yatokayo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu.


Maji haya yanatoka baina ya uti wa mgongo na mbavu za mwanamume na mwanamke. SuLB ni sehemu za uti wa mgongo; na TARAAIB ni mafupa ya vifua, yaani mbavu. Masomo ya watoto wanapo kuwa ndani ya matumbo ya mama zao (Embryology). yamedhihirisha kuwa viini vya vyombo vya uzazi na mkojo katika mtoto ndani ya tumbo la mama yake vinadhihiri baina ya khalaya (cells) za mishipa itakayo kuwa mafupa ya uti wa mgongo, na baina ya khalaya zitakazo kuwa mafupa ya kifua. Mafigo hubakia pahala pake, na kokwa huteremka kwenye pahala pake pa kawaida katika pumbu wakati wa kuzaliwa. Na juu ya kuteremka kokwa chini mishipa inayo inywesha damu maisha yake yote inatokana na mishipa ya mafigo. Hali kadhaalika mishipa ya Navo inayo peleka kuhisi na ikasaidia kuzalisha vitu vya uhai na yaliyo khusiana na hayo kama maji yanayo toka kwenye mshipa wa kifua wa kumi unao tokana na ubongo wa uti wa mgongo kwenye kipingili cha kumi na kumi na moja. Yaliyo wazi kutokana na hayo ni kwamba vyombo vya uzazi na vinavyo lisha vyombo hivyo, na vyombo vya damu, vipo katika kiwiliwili baina ya uti wa mgongo na mbavu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 7 from Tariq


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hivyo nyinyi mnawaingilia wanaume kwa matamanio mkwawacha wanawake? Kumbe nyinyi ni watu wafujaji!
  2. Enyi mlio amini! Msinyanyue sauti zenu kuliko sauti ya Nabii, wala msiseme naye kwa kelele
  3. Kwani aliye ziumba mbingu na ardhi hawezi kuwaumba mfano wao? Kwani! Naye ndiye Muumbaji Mkuu,
  4. Huo ndio mwisho wao wa ujuzi. Hakika Mola wako Mlezi ndiye anaye mjua zaidi mwenye
  5. Na wakazikataa kwa dhulma na kujivuna, na hali ya kuwa nafsi zao zina yakini nazo.
  6. Na kaweka katika ardhi milima ili ardhi isiyumbe yumbe nanyi. Na mito, na njia ili
  7. Enyi mlio amini! Msiwafanye adui zangu na adui zenu kuwa marafiki mkiwapa mapenzi, na hali
  8. Na wale walio tangulia, wa kwanza, katika Wahajiri na Ansari, na walio wafuata kwa wema,
  9. Na mizaituni, na mitende,
  10. (Mwenyezi Mungu) atasema: Ndivyo vivyo hivyo. Zilikufikia ishara zetu, nawe ukazisahau; na kadhaalika leo unasahauliwa.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Tariq with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Tariq mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tariq Complete with high quality
Surah Tariq Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Tariq Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Tariq Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Tariq Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Tariq Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Tariq Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Tariq Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Tariq Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Tariq Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Tariq Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Tariq Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Tariq Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Tariq Al Hosary
Al Hosary
Surah Tariq Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Tariq Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, June 5, 2025

Please remember us in your sincere prayers