Surah Zukhruf aya 84 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Zukhruf aya 84 in arabic text(The Gold Adornments).
  
   

﴿وَهُوَ الَّذِي فِي السَّمَاءِ إِلَٰهٌ وَفِي الْأَرْضِ إِلَٰهٌ ۚ وَهُوَ الْحَكِيمُ الْعَلِيمُ
[ الزخرف: 84]

Na Yeye ndiye Mungu mbinguni, na ndiye Mungu katika ardhi. Naye ndiye Mwenye hikima, Mwenye ujuzi.

Surah Az-Zukhruf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And it is Allah who is [the only] deity in the heaven, and on the earth [the only] deity. And He is the Wise, the Knowing.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na Yeye ndiye Mungu mbinguni, na ndiye Mungu katika ardhi. Naye ndiye Mwenye hikima, Mwenye ujuzi.


Na Yeye ndiye anaye abudiwa mbinguni kwa haki, na anaabudiwa katika ardhi kwa haki. Na Yeye, peke yake, ndiye Mwenye hikima za mwisho katika vitendo vyake na mipango yake, Mwenye kujua kila kitu kilicho kuwa na kitakacho kuwa.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 84 from Zukhruf


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hayo ni kwa sababu Mwenyezi Mungu habadilishi kabisa neema alizo waneemesha watu, mpaka wao wabadilishe
  2. Na huwi katika jambo lolote, wala husomi sehemu yoyote katika Qur'ani, wala hamtendi kitendo chochote
  3. Na Mwenyezi Mungu angeli jua wema wowote kwao ange wasikilizisha, na lau ange wasikilizisha wangeli
  4. Na lau kuwa Watu wa Kitabu wangeli amini na wakachamngu hapana shaka tungeli wafutia makosa
  5. Akasema: Kwa kuwa umenihukumia upotofu, basi nitawavizia katika Njia yako Iliyo Nyooka.
  6. Hao ndio walio na uwongofu utokao kwa Mola wao Mlezi, na hao ndio wenye kufanikiwa.
  7. Hayo ni kwa sababu ya kuwa waliamini, kisha wakakufuru; kwa hivyo umepigwa muhuri juu ya
  8. Enyi mlio amini! Ingieni katika Uislamu kwa ukamilifu, wala msifuate nyayo za She'tani; hakika yeye
  9. Wanaume ni wasimamizi wa wanawake, kwa kufadhiliwa na Mwenyezi Mungu baadhi yao juu ya baadhi,
  10. Na Mwenyezi Mungu amekujaalieni majumba yenu yawe ni maskani yenu, na amekujaalieni kutokana na ngozi

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Zukhruf with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Zukhruf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zukhruf Complete with high quality
Surah Zukhruf Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Zukhruf Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Zukhruf Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Zukhruf Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Zukhruf Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Zukhruf Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Zukhruf Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Zukhruf Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Zukhruf Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Zukhruf Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Zukhruf Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Zukhruf Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Zukhruf Al Hosary
Al Hosary
Surah Zukhruf Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Zukhruf Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, October 6, 2025

Please remember us in your sincere prayers