Surah Zukhruf aya 83 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Zukhruf aya 83 in arabic text(The Gold Adornments).
  
   

﴿فَذَرْهُمْ يَخُوضُوا وَيَلْعَبُوا حَتَّىٰ يُلَاقُوا يَوْمَهُمُ الَّذِي يُوعَدُونَ﴾
[ الزخرف: 83]

Basi waache wapige porojo wakicheza mpaka wakutwe na hiyo siku yao waliyo ahidiwa.

Surah Az-Zukhruf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


So leave them to converse vainly and amuse themselves until they meet their Day which they are promised.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Basi waache wapige porojo wakicheza mpaka wakutwe na hiyo siku yao waliyo ahidiwa.


Basi waachilie wazame katika upotovu wao, na wacheze katika dunia yao, wayaache mambo yenye maana, wala wasiyashughulikie, mpaka iwajie Siku ya Kiyama waliyo ahidiwa, ipate kila nafsi kulipwa kwa iliyo yachuma.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 83 from Zukhruf


Ayats from Quran in Swahili

  1. Miji hiyo, tunakusimulia baadhi ya khabari zake. Na hapana shaka Mitume wao waliwafikia kwa hoja
  2. Na hatukumtuma kabla yako Mtume yeyote ila tulimfunulia ya kwamba hapana mungu isipo kuwa Mimi.
  3. Huo ndio mwendo kwa Mitume tulio watuma kabla yako. Wala hupati mabadiliko katika mwendo wetu.
  4. Enyi watu wangu! Ingieni katika nchi takatifu ambayo Mwenyezi Mungu amekuandikieni. Wala msirudi nyuma, msije
  5. Wanataka kuizima Nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao, na Mwenyezi Mungu anakataa ila aitimize
  6. Enyi mlio amini! Hakika wengi katika makuhani na wamonaki wanakula mali za watu kwa baat'ili
  7. Waambie wale walio kufuru: Wakikoma watasamehewa yaliyo kwisha pita. Na wakiyarudia basi imekwisha pita mifano
  8. Yeye ndiye Muumba mbingu na ardhi, amekujaalieni mke na mume katika nafsi zenu, na katika
  9. Basi subiri, hakika ahadi ya Mwenyezi Mungu ni ya kweli. Na ama tukikuonyesha baadhi ya
  10. Na zinazo farikisha zikatawanya!

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Zukhruf with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Zukhruf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zukhruf Complete with high quality
Surah Zukhruf Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Zukhruf Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Zukhruf Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Zukhruf Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Zukhruf Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Zukhruf Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Zukhruf Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Zukhruf Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Zukhruf Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Zukhruf Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Zukhruf Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Zukhruf Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Zukhruf Al Hosary
Al Hosary
Surah Zukhruf Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Zukhruf Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, May 15, 2025

Please remember us in your sincere prayers