Surah An Naba aya 10 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَجَعَلْنَا اللَّيْلَ لِبَاسًا﴾
[ النبأ: 10]
Na tukaufanya usiku ni nguo?
Surah An-Naba in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And made the night as clothing
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na tukaufanya usiku ni nguo?
Na tumeufanya usiku ni sitara kwenu kwa kiza kinacho kufunikeni.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na wamechukua miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu ili ati iwape nguvu.
- Lakini anaye taka kinyume cha haya, basi hao ndio warukao mipaka.
- Na kwa ajili ya Mola wako Mlezi, subiri!
- Kwa sababu alimjia kipofu!
- Ambao wanapo jipimia kwa watu hudai watimiziwe.
- Hasha! Kwani wao hawaiogopi Akhera?
- Basi wakajirudi nafsi zao, wakasema: Hakika nyinyi mlikuwa madhaalimu!
- Wala hana anaye fanana naye hata mmoja.
- Basi nafsi yake ikampelekea kumuuwa nduguye, akamuuwa na akawa miongoni mwa wenye kukhasirika.
- Mwanaadamu ameumbwa na haraka. Nitakuonyesheni Ishara zangu. Basi msinihimize.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah An Naba with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah An Naba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter An Naba Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



