Surah An Naba aya 9 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah An Naba aya 9 in arabic text(The Great News).
  
   

﴿وَجَعَلْنَا نَوْمَكُمْ سُبَاتًا﴾
[ النبأ: 9]

Na tukakufanya kulala kwenu ni mapumziko?

Surah An-Naba in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And made your sleep [a means for] rest


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na tukakufanya kulala kwenu ni mapumziko?


Na tukafanya kulala kwenu ni mapumziko ya machofu ya kazi? Kulala usingizi ni kusita nishati ya sehemu ya ubongo yenye kutambua na kuwa macho. Yaani gamba la ubongo, au kupunguka nishati yake kwa wingi, ukilinganisha na daraja za nishati ya sehemu za viungo vilio baki. Na kwa hivyo kunapunguka nguvu na joto la mwili, tena mwili hapo wakati wa usingizi hupata kutua na kupumzika baada ya kuhangaika viungo au akili au vyote viwili. Basi kazi za kimwili zote hupunguka isipo kuwa kazi za kusaga chakula, na kupitisha mkojo katika mafigo, na kutoka majasho katika ngozi, kwani yakisita hayo hupatikana madhara juu ya maisha ya mtu. Ama kuvuta pumzi huko nako hupunguka, na huwa ni kwa ndani zaidi, na huwa kwa kifua zaidi kuliko kwa tumbo. Na mpigo wa mishipa hupungua kasi kwa kunavyo tokana na moyo, na hudhoofika mkazano wa musulo (muscular tension), na kwa hivyo huwa taabu kupata harakati za kinyume. Na yote haya ni ili binaadamu apate kupumzika wakati wa kulala.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 9 from An Naba


Ayats from Quran in Swahili

  1. Au mmeaminisha ya kuwa hatakurudisheni humo mara nyengine na kukupelekeeni kimbunga cha upepo akakuzamisheni kwa
  2. Nasi twazigeuza nyoyo zao na macho yao. Kama walivyo kuwa hawakuamini mara ya kwanza, tunawaacha
  3. Ewe Nabii! Waambie wake zako: Ikiwa mnataka maisha ya dunia na pambo lake, basi njooni,
  4. Enyi mlio amini! Mkiambiwa: Fanyeni nafasi katika mabaraza, basi fanyeni nafasi. Na Mwenyezi Mungu atakufanyieni
  5. Hakika walio kufuru lau wange kuwa na yote yaliyomo duniani, na mengine kama hayo, ili
  6. Je! Mnauona moto mnao uwasha?
  7. Enyi wake wa Nabii! Atakaye fanya uchafu dhaahiri miongoni mwenu, atazidishiwa adhabu mara mbili. Na
  8. Na bila ya shaka tuliwatuma Mitume kabla yako. Wengine katika hao tumekusimulia khabari zao, na
  9. Hao ndio walio kufuru na wakakuzuieni msiingie Msikiti Mtakatifu, na wakawazuilia dhabihu kufika mahala pao.
  10. Ati anadhani binaadamu kuwa ataachwa bure?

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah An Naba with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah An Naba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter An Naba Complete with high quality
Surah An Naba Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah An Naba Bandar Balila
Bandar Balila
Surah An Naba Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah An Naba Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah An Naba Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah An Naba Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah An Naba Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah An Naba Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah An Naba Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah An Naba Fares Abbad
Fares Abbad
Surah An Naba Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah An Naba Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah An Naba Al Hosary
Al Hosary
Surah An Naba Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah An Naba Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, May 10, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب