Surah Muminun aya 105 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَلَمْ تَكُنْ آيَاتِي تُتْلَىٰ عَلَيْكُمْ فَكُنتُم بِهَا تُكَذِّبُونَ﴾
[ المؤمنون: 105]
Je! Hazikuwa Aya zangu mkisomewa, na nyinyi mkizikanusha?
Surah Al-Muminun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[It will be said]. "Were not My verses recited to you and you used to deny them?"
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Je! Hazikuwa Aya zangu mkisomewa, na nyinyi mkizikanusha?.
Mwenyezi Mungu anawakemea na anawaambia: Aya zangu zilizo kuwa zinateremshwa zilikuwa mkisomewa duniani, nanyi mkizikadhibisha.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi kumbusha! Kwani wewe, kwa neema ya Mola wako Mlezi, si kuhani wala mwendawazimu.
- Jee, hawaoni vizazi vingapi tulivyo viangamiza kabla yao? Tuliwaweka katika nchi tusivyo kuwekeni nyinyi; tukawapelekea
- Kwani hakuwa yeye tone ya manii lilio shushwa?
- Je! Hapana katika haya kiapo kwa mwenye akili?
- (Musa) akasema: Ndiye Mola wenu Mlezi, na Mola Mlezi wa baba zenu wa kwanza.
- Wamesema: Mwenyezi Mungu ana mwana. Subhanahu, Aliye takasika! Yeye ni Mkwasi, Mwenye Kujitosheleza. Vyote viliomo
- Ili Mwenyezi Mungu awalipe wakweli kwa sababu ya ukweli wao, na awaadhibu wanaafiki pindi akitaka,
- Kisha akamsahilishia njia.
- Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
- Hakika siku ya Uamuzi ni wakati ulio wekwa kwa wao wote.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muminun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muminun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muminun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers