Surah Muminun aya 105 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَلَمْ تَكُنْ آيَاتِي تُتْلَىٰ عَلَيْكُمْ فَكُنتُم بِهَا تُكَذِّبُونَ﴾
[ المؤمنون: 105]
Je! Hazikuwa Aya zangu mkisomewa, na nyinyi mkizikanusha?
Surah Al-Muminun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[It will be said]. "Were not My verses recited to you and you used to deny them?"
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Je! Hazikuwa Aya zangu mkisomewa, na nyinyi mkizikanusha?.
Mwenyezi Mungu anawakemea na anawaambia: Aya zangu zilizo kuwa zinateremshwa zilikuwa mkisomewa duniani, nanyi mkizikadhibisha.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Yakateketezwa matunda yake, akabaki akipindua pindua viganja vyake, kwa vile alivyo yagharimia, na miti imebwagika
- Sema: Je nitafute Mola Mlezi asiye kuwa Mwenyezi Mungu, na hali Yeye ndiye Mola Mlezi
- Alipo pelekewa jioni farasi wasimamao kidete, tayari kutoka shoti;
- Na anawaitikia wanao amini na wakatenda mema, na anawazidishia fadhila zake. Na makafiri watakuwa na
- Hiyo ni fadhila itokayo kwa Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa kutosha.
- Mtapelekewa muwako wa moto na shaba; wala hamtashinda.
- Mwanaadamu hachoki kuomba dua za kheri, na inapo mpata shari, mara huvunjika moyo akakata tamaa.
- Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
- Waliyauliza hayo watu wa kabla yenu, kisha wakawa wenye kuyakataa.
- Na waache kwa muda.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muminun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muminun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muminun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers