Surah Adiyat aya 11 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Adiyat aya 11 in arabic text(The War Horse).
  
   

﴿إِنَّ رَبَّهُم بِهِمْ يَوْمَئِذٍ لَّخَبِيرٌ﴾
[ العاديات: 11]

Kuwa hakika Mola wao Mlezi siku hiyo bila ya shaka atakuwa na khabari zao wote!

Surah Al-Adiyat in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Indeed, their Lord with them, that Day, is [fully] Acquainted.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Kuwa hakika Mola wao Mlezi siku hiyo bila ya shaka atakuwa na khabari zao wote!


Kwamba hakika Mlezi wao na Muumba wao bila ya shaka anajua vyema vitendo vyao na malipo yao Siku ya Kufufuliwa na Kulipwa.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 11 from Adiyat


Ayats from Quran in Swahili

  1. Akasema: Bali nafsi zenu zimekushawishini kwenye jambo fulani. Subira ni njema! Asaa Mwenyezi Mungu akaniletea
  2. Wale ambao watakao kusanywa na kubururwa kifudifudi mpaka kwenye Jahannamu, hao watakuwa na mahali pabaya,
  3. Na ingojee hukumu ya Mola wako Mlezi. Kwani wewe hakika uko mbele ya macho yetu,
  4. Na hapana katika sisi ila anapo mahali pake maalumu.
  5. Vinamsabihi, Vinamtakasa Mwenyezi Mungu viliomo katika mbingu na viliomo katika ardhi. Naye ni Mwenye nguvu,
  6. Na tukimwonjesha mtu rehema inayo toka kwetu, kisha tukamwondolea, hukata tamaa akakufuru.
  7. Wakusanyeni walio dhulumu, na wake zao, na hao walio kuwa wakiwaabudu -
  8. Au umbo lolote mnalo liona kubwa katika vifua vyenu. Watasema: Nani atakaye turudisha tena? Sema:
  9. Na mwenzake atasema: Huyu niliye naye mimi kesha tayarishwa.
  10. Na bila ya shaka yeye amekwisha lipoteza kundi kubwa miongoni mwenu. Je, hamkuwa mkifikiri?

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Adiyat with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Adiyat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Adiyat Complete with high quality
Surah Adiyat Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Adiyat Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Adiyat Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Adiyat Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Adiyat Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Adiyat Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Adiyat Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Adiyat Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Adiyat Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Adiyat Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Adiyat Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Adiyat Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Adiyat Al Hosary
Al Hosary
Surah Adiyat Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Adiyat Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, March 4, 2025

Please remember us in your sincere prayers