Surah Ahzab aya 11 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿هُنَالِكَ ابْتُلِيَ الْمُؤْمِنُونَ وَزُلْزِلُوا زِلْزَالًا شَدِيدًا﴾
[ الأحزاب: 11]
Hapo ndipo Waumini walipo jaribiwa, na wakatikiswa mtikiso mkali.
Surah Al-Ahzab in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
There the believers were tested and shaken with a severe shaking.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hapo ndipo Waumini walipo jaribiwa, na wakatikiswa mtikiso mkali.
Katika wakati ule Waumini walifanyiwa mtihani juu ya kusubiri kwao juu ya Imani. Wakatikisika kwa khofu kwa mtikiso mkubwa.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na tukakufanya kulala kwenu ni mapumziko?
- Na wanapo waona husema: Hakika hawa ndio khasa walio potea.
- Kisha baada yao tukamtuma Musa na Haruni kwa Firauni na waheshimiwa wake, kwa Ishara zetu.
- Siku hiyo ataambiwa aliyo yatanguliza na aliyo yaakhirisha.
- Hakika siku ya uamuzi imewekewa wakati wake,
- Kwani! Hakika mtu bila ya shaka huwa jeuri
- Tulifanya agano na Wana wa Israili, na tukawatumia Mitume. Kila alipo wajia Mtume kwa wasio
- Kifuate cha kufuatia.
- Yeye ndiye aliye mtuma Mtume wake kwa uwongofu na Dini ya Haki, ili aitukuze juu
- Basi ni raha, na manukato, na Bustani zenye neema.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Ahzab with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Ahzab mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ahzab Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers