Surah Muminun aya 112 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالَ كَمْ لَبِثْتُمْ فِي الْأَرْضِ عَدَدَ سِنِينَ﴾
[ المؤمنون: 112]
Atasema: Mlikaa muda gani katika ardhi kwa hisabu ya miaka?
Surah Al-Muminun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[Allah] will say, "How long did you remain on earth in number of years?"
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Atasema: Mlikaa muda gani katika ardhi kwa hisabu ya miaka?.
Mwenyezi Mungu atawaambia makafiri: Mliishi miaka mingapi huko duniani?
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Muitikieni Mola wenu Mlezi kabla haijafika siku isiyo epukika itokayo kwa Mwenyezi Mungu. Siku hiyo
- Basi walipo liona, wakasema: Hakika tumepotea!
- Hakika katika haya yapo mawaidha kwa watu wafanyao ibada.
- Lakini hatukupata humo ila nyumba moja tu yenye Waislamu!
- Hayo ni kwa sababu walimpinga Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Na mwenye kumpinga Mwenyezi Mungu,
- Bali muabudu Mwenyezi Mungu tu, na uwe miongoni mwa wenye kushukuru.
- Hakika wale walioko kwa Mola wako Mlezi hawajivuni wakaacha kumuabdu, na wanamtakasa na wanamsujudia.
- Na ndio hivi tunavyo zieleza Ishara ili ibainike njia ya wakosefu.
- Basi walipo kuja wachawi, Musa aliwaambia: Tupeni mnavyo tupa!
- Na walimfanyia Mwenyezi Mungu washirika ili wapoteze watu kwenye Njia yake. Sema: Stareheni! Kwani marejeo
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muminun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muminun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muminun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



