Surah Shuara aya 117 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Shuara aya 117 in arabic text(The Poets).
  
   

﴿قَالَ رَبِّ إِنَّ قَوْمِي كَذَّبُونِ﴾
[ الشعراء: 117]

Akasema: Mola wangu Mlezi! Hakika watu wangu wamenikanusha.

Surah Ash-Shuara in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


He said, "My Lord, indeed my people have denied me.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Akasema: Mola wangu Mlezi! Hakika watu wangu wamenikanusha.


Nuhu kuonyesha kushikilia watu wake kuukadhibisha wito wake, alisema: Ewe Mola wangu Mlezi! Hakika watu wangu wamenikanusha! Kuthibitisha kuwa wanastahiki maapizo yake.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 117 from Shuara


Ayats from Quran in Swahili

  1. Lut'i akamuamini, na akasema: Mimi nahamia kwa Mola wangu Mlezi. Hakika Yeye ndiye Mwenye nguvu,
  2. Kwani yeye amepata khabari za ghaibu, au amechukua ahadi kwa Arrahmani Mwingi wa Rehema?
  3. Na Mitume tulio kwisha kukuhadithia kabla yake, na Mitume wengine hatukukuhadithia. Na Mwenyezi Mungu alinena
  4. Hata watakapo yaona wanayo ahidiwa, ndipo watakapo jua ni nani mwenye msaidizi dhaifu, na mchache
  5. Na waache kwa muda.
  6. Wala msiyakaribie mali ya yatima, isipo kuwa kwa njia iliyo bora, mpaka afike utuuzimani. Na
  7. Ewe mtu! Hakika wewe unajikusuru kwa juhudi kumwendea Mola wako Mlezi, basi utamkuta.
  8. MITUME hao tumewatukuza baadhi yao juu ya wengineo. Katika wao wapo ambao Mwenyezi Mungu alisema
  9. Wakasema: Enyi kaumu yetu! Sisi tumesikia Kitabu kilicho teremshwa baada ya Musa, kinacho sadikisha yaliyo
  10. Onjeni adhabu yenu! Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyahimiza.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Surah Shuara Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Shuara Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Shuara Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Shuara Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Shuara Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Shuara Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Shuara Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Shuara Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Shuara Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Shuara Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Shuara Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Shuara Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Shuara Al Hosary
Al Hosary
Surah Shuara Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Shuara Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, April 11, 2025

Please remember us in your sincere prayers