Surah Zumar aya 12 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأُمِرْتُ لِأَنْ أَكُونَ أَوَّلَ الْمُسْلِمِينَ﴾
[ الزمر: 12]
Na nimeamrishwa niwe wa mwanzo wa Waislamu.
Surah Az-Zumar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And I have been commanded to be the first [among you] of the Muslims."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na nimeamrishwa niwe wa mwanzo wa Waislamu.
Na nimeamrishwa amri iliyo tokana naye Mtukufu, amri ya nguvu, ya kwamba niwe wa mwanzo wa kufuata amri zake.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Muhammad ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na walio pamoja naye wana nguvu mbele ya makafiri,
- Ewe mwanaadamu! Nini kilicho kughuri ukamwacha Mola wako Mlezi Mtukufu?
- Mwenye kuzuia kheri, dhaalimu, mwingi wa madhambi,
- Wala sijui pengine huu ni mtihani tu kwenu na starehe mpaka muda kidogo.
- T'aa Siin. (T'. S.), Hizi ni Aya za Qur'ani na Kitabu kinacho bainisha;
- Na wataambiwa walio mcha Mungu: Mola wenu Mlezi kateremsha nini? Watasema: Kheri. Walio fanya wema
- Akasema: Naam! Nanyi bila ya shaka mtakuwa katika wa karibu nami.
- Ndipo akamwomba Mola wake Mlezi: Hakika watu hawa ni wakosefu.
- Na Mayahudi walisema: Mkono wa Mwenyezi Mungu umefumba. Mikono yao ndiyo iliyo fumba, na wamelaaniwa
- Huko utapigwa ukelele mmoja tu! Na hapo ndio wataona!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Zumar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Zumar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zumar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



