Surah Lail aya 13 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِنَّ لَنَا لَلْآخِرَةَ وَالْأُولَىٰ﴾
[ الليل: 13]
Na hakika ni yetu Sisi Akhera na dunia.
Surah Al-Layl in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And indeed, to Us belongs the Hereafter and the first [life].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na hakika ni yetu Sisi Akhera na dunia.
Na juu yetu Sisi peke yetu, bila ya shaka, hili jambo la kuendesha yaliomo duniani na Akhera.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Yeye ndiye aliye mtuma Mtume wake kwa uwongofu na Dini ya haki ili ipate kuzishinda
- Ndio hivyo! Na tukawarithisha haya watu wenginewe.
- Nawe hukuwa unataraji kuletewa Kitabu; lakini ni rehema tu ya Mola wako Mlezi. Basi usiwe
- Ya Firauni na Thamudi?
- Wakasema: Hakika wewe ni miongoni mwa walio rogwa.
- Na Siku litapo pulizwa baragumu, watahangaika waliomo mbinguni na katika ardhi, ila amtakaye Mwenyezi Mungu.
- Yeye ndiye aliye kujaalieni usiku mpate kutulia humo, na mchana wa kuonea. Hakika katika haya
- Humuadhibu amtakaye, na humrehemu amtakaye. Na kwake Yeye mtapelekwa.
- Siku hiyo itahadithia khabari zake.
- Je! Wanadhani watu wataachwa kwa kuwa wanasema: Tumeamini. Nao wasijaribiwe?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Lail with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Lail mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Lail Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers