Surah Lail aya 13 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِنَّ لَنَا لَلْآخِرَةَ وَالْأُولَىٰ﴾
[ الليل: 13]
Na hakika ni yetu Sisi Akhera na dunia.
Surah Al-Layl in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And indeed, to Us belongs the Hereafter and the first [life].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na hakika ni yetu Sisi Akhera na dunia.
Na juu yetu Sisi peke yetu, bila ya shaka, hili jambo la kuendesha yaliomo duniani na Akhera.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi jua ya kwamba hapana mungu ila Mwenyezi Mungu, na omba maghufira kwa dhambi zako
- Haya haya tuliahidiwa sisi na baba zetu zamani. Hayakuwa haya ila ni hadithi za uwongo
- Wale ambao wameamini, na hawakuchanganya imani yao na dhulma - hao ndio watakao pata amani
- Hakika Sisi tumemimina maji kwa nguvu,
- Yeye ndiye anaye fufua na anaye fisha. Na kwake mtarejeshwa.
- Na ndio hivi tunavyo zieleza Ishara ili ibainike njia ya wakosefu.
- Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,
- Na kadhaalika hao washirika wao wamewapambia wengi katika washirikina kuwauwa watoto wao ili kuwaangamiza na
- Lazima nitaikata mikono yenu na miguu yenu mbali mbali. Kisha nitakutundikeni misalabani.
- Je, wamejiaminisha na mipango ya Mwenyezi Mungu? Kwani hawajiaminishi na mipango ya Mwenyezi Mungu ila
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Lail with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Lail mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Lail Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



