Surah Nahl aya 122 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَآتَيْنَاهُ فِي الدُّنْيَا حَسَنَةً ۖ وَإِنَّهُ فِي الْآخِرَةِ لَمِنَ الصَّالِحِينَ﴾
[ النحل: 122]
Na tukampa wema duniani, na hakika Akhera atakuwa miongoni mwa watu wema.
Surah An-Nahl in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And We gave him good in this world, and indeed, in the Hereafter he will be among the righteous.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na tukampa wema duniani, na hakika Akhera atakuwa miongoni mwa watu wema.
Na tumemjaalia duniani atajike vyema, na hakika Akhera atakuwa miongoni mwa watu wema wanao neemeshwa kwa Pepo za Allah na radhi zake.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na hatukuwatuma kabla yako Mitume wowote ila kwa hakika na yakini walikuwa wakila chakula, na
- Watadumu humo muda wa kudumu mbingu na ardhi, isipo kuwa apendavyo Mola wako Mlezi. Hakika
- Hakika nalijua ya kuwa nitapokea hisabu yangu.
- (Mwenyezi Mungu) akasema: Ewe Musa! Mimi nimekuteuwa wende kwa watu na Ujumbe wangu na maneno
- Lao wao humo ni kupiga mayowe, na wala hawatasikia (jenginelo).
- Na ama aliye amini na akatenda mema basi atapata malipo mazuri. Nasi tutamwambia lilio jepesi
- Katika Ubao Ulio Hifadhiwa.
- Kisha nyinyi kwa nyinyi mnauwana, na mnawatoa baadhi yenu majumbani kwao, mkisaidiana kwa dhambi na
- Ni ahadi ya Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu havunji ahadi yake. Lakini watu wengi hawajui.
- Na pia mashet'ani wanao mpigia mbizi na kufanya kazi nyenginezo. Na Sisi tulikuwa walinzi wao.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Nahl with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Nahl mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nahl Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



