Surah Nahl aya 122 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَآتَيْنَاهُ فِي الدُّنْيَا حَسَنَةً ۖ وَإِنَّهُ فِي الْآخِرَةِ لَمِنَ الصَّالِحِينَ﴾
[ النحل: 122]
Na tukampa wema duniani, na hakika Akhera atakuwa miongoni mwa watu wema.
Surah An-Nahl in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And We gave him good in this world, and indeed, in the Hereafter he will be among the righteous.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na tukampa wema duniani, na hakika Akhera atakuwa miongoni mwa watu wema.
Na tumemjaalia duniani atajike vyema, na hakika Akhera atakuwa miongoni mwa watu wema wanao neemeshwa kwa Pepo za Allah na radhi zake.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na hakika Mwenyezi Mungu ni Mola wangu Mlezi, na Mola wenu Mlezi. Basi muabuduni Yeye.
- Njia ya Mwenyezi Mungu ambaye ni vyake Yeye tu viliomo mbinguni na katika ardhi. Jueni
- Iwe salama kwa Nuhu ulimwenguni kote!
- Huku wakitimua vumbi,
- Mwenyezi Mungu amewaahidi wanaafiki wanaume na wanaafiki wanawake na makafiri Moto wa Jahannamu kudumu humo.
- Alipo waambia ndugu yao, Hud: Je! Hamchimngu?
- Naapa kwa Zama!
- Ni onyo kwa binaadamu,
- Iwe salama kwa Ibrahim!
- Na kwa ajili yao yatakuwapo marungu ya chuma.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Nahl with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Nahl mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nahl Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



