Surah zariyat aya 14 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿ذُوقُوا فِتْنَتَكُمْ هَٰذَا الَّذِي كُنتُم بِهِ تَسْتَعْجِلُونَ﴾
[ الذاريات: 14]
Onjeni adhabu yenu! Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyahimiza.
Surah Adh-Dhariyat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[And will be told], "Taste your torment. This is that for which you were impatient."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Onjeni adhabu yenu! Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyahimiza.
Wataambiwa: Onjeni adhabu yenu hii ambayo duniani mlikuwa mkiihimiza iwe.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi kuleni katika mlivyo teka, ni halali na vizuri, na mcheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi
- Enyi Watu wa Kitabu! Mbona kweli mnaivisha uwongo, na kweli mnaificha na hali mnajua?
- Nani dhaalimu mkubwa kuliko yule anaye mzuliya uwongo Mwenyezi Mungu, au anaye sema: Mimi nimeletewa
- Humo katika kila matunda zimo namna mbili.
- Hakika Qur'ani hii inawasimulia Wana wa Israili mengi wanayo khitalifiana nayo.
- Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo?
- Na kwamba ni Yeye ndiye anaye tosheleza na kukinaisha.
- Na ardhi na milima ikaondolewa, na ikavunjwa kwa mvunjo mmoja,
- Lau kuwa hawa ni miungu, wasingeli ingia. Na wote watadumu humo.
- Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah zariyat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah zariyat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter zariyat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



