Surah Qalam aya 15 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِذَا تُتْلَىٰ عَلَيْهِ آيَاتُنَا قَالَ أَسَاطِيرُ الْأَوَّلِينَ﴾
[ القلم: 15]
Anapo somewa Aya zetu, husema: Hizi ni simulizi za uwongo za watu wa zamani!
Surah Al-Qalam in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
When Our verses are recited to him, he says, "Legends of the former peoples."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Anapo somewa Aya zetu, husema: Hizi ni simulizi za uwongo za watu wa zamani!
Akisomewa Qurani husema: Hivi ni visa vya uwongo vya watu wa kale!
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na kwamba hakika Yeye ndiye Mola Mlezi wa nyota ya Shii'ra.
- Tulikupotezeni kwa sababu sisi wenyewe tulikuwa wapotovu.
- Basi hawataweza kuusia, wala kwa watu wao hawarejei.
- Akaambiwa: Liingie behewa la hili jumba. Alipo liona alidhani ni maji, na akapandisha nguo mpaka
- Hamkuwauwa nyinyi lakini Mwenyezi Mungu ndiye aliye wauwa. Na wewe hukutupa, walakini Mwenyezi Mungu ndiye
- Na wapeni wanawake mahari yao hali ya kuwa ni kipawa. Lakini wakikutunukieni kitu katika mahari,
- Isa alipo hisi kuwa kati yao pana ukafiri alisema: Nani wasaidizi wangu kwa Mwenyezi Mungu?
- Wataelekeana wakiulizana.
- Na walisema: Hakuna mengine ila maisha yetu haya ya duniani, wala sisi hatutafufuliwa.
- Na mbingu ameziinua, na ameweka mizani,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qalam with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qalam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qalam Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



