Surah Qalam aya 15 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِذَا تُتْلَىٰ عَلَيْهِ آيَاتُنَا قَالَ أَسَاطِيرُ الْأَوَّلِينَ﴾
[ القلم: 15]
Anapo somewa Aya zetu, husema: Hizi ni simulizi za uwongo za watu wa zamani!
Surah Al-Qalam in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
When Our verses are recited to him, he says, "Legends of the former peoples."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Anapo somewa Aya zetu, husema: Hizi ni simulizi za uwongo za watu wa zamani!
Akisomewa Qurani husema: Hivi ni visa vya uwongo vya watu wa kale!
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Je, lipo wanalo lingojea isipo kuwa matokeo yake? Siku yatapo fika matokeo yake watasema wale
- Na anaye mhidi Mwenyezi Mungu basi huyo ndiye aliye hidika. Na anaye wapotoa basi huto
- Basi subiri, kama walivyo subiri Mitume wenye stahmala kubwa, wala usiwafanyie haraka. Siku watakayo yaona
- - Kama yaliyo wapata watu wa Firauni na wale walio kuwa kabla yao. Walikanusha Ishara
- Hata tukiwa mifupa iliyo bunguliwa?
- Na hapo tunge wapa malipo makubwa kutoka kwetu.
- Hao ndio tunao wapokelea bora ya vitendo vyao walivyo vitenda, na tunayasamehe makosa yao. Watakuwa
- Tena tukaipasua pasua ardhi kwa nguvu,
- Enyi mlio amini! Mkimnusuru Mwenyezi Mungu naye atakunusuruni na ataithibitisha miguu yenu.
- Basi walitaka kumfanyia vitimbi, lakini tukawafanya wao ndio wa chini.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qalam with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qalam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qalam Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers