Surah Al Alaq aya 15 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al Alaq aya 15 in arabic text(The Clinging Clot).
  
   

﴿كَلَّا لَئِن لَّمْ يَنتَهِ لَنَسْفَعًا بِالنَّاصِيَةِ﴾
[ العلق: 15]

Kwani! Kama haachi, tutamkokota kwa shungi la nywele!

Surah Al-Alaq in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


No! If he does not desist, We will surely drag him by the forelock -


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Kwani! Kama haachi, tutamkokota kwa shungi la nywele!


Kwa kumkemea huyu mwenye kuzuia, anaambiwa kama hakuacha hayo anayo yafanya, basi hapana shaka tutamkokota kwa nguvu tukimshika kwa shungi lake la nywele mpaka Motoni!

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 15 from Al Alaq


Ayats from Quran in Swahili

  1. Bali mtu ni hoja juu ya nafsi yake.
  2. Wakasema: Je! Umetujia ili ututenge mbali na miungu yetu? Basi tuletee hayo unayo tuahidi ikiwa
  3. Je! Ni nyinyi mnayo yateremsha kutoka mawinguni au ni Sisi ndio wenye kuyateremsha?
  4. Hao hawawezi kushinda katika ardhi, wala hawana walinzi isipo kuwa Mwenyezi Mungu. Watazidishiwa adhabu. Hawakuwa
  5. Na Mwenyezi Mungu huhukumu kwa haki; lakini hao wanao waomba badala yake hawahukumu chochote. Hakika
  6. Haya yote ubaya wake ni wenye kuchukiza kwa Mola wako Mlezi.
  7. Watajuulikana wakosefu kwa alama zao, basi watashikwa kwa nywele zao za utosini na kwa miguu.
  8. Na waonye siku ya majuto itapo katwa amri. Nao wamo katika ghafla, wala hawaamini.
  9. (Mwenyezi Mungu) akasema: Tutautia nguvu mkono wako kwa nduguyo, na tutakupeni madaraka, hata wasikufikilieni. Kwa
  10. Watasema (wakubwa): Bali nyinyi wenyewe hamkuwa Waumini.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Al Alaq with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Al Alaq mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Alaq Complete with high quality
Surah Al Alaq Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Al Alaq Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Al Alaq Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Al Alaq Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Al Alaq Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Al Alaq Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Al Alaq Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Al Alaq Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Al Alaq Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Al Alaq Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Al Alaq Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Al Alaq Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Al Alaq Al Hosary
Al Hosary
Surah Al Alaq Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Al Alaq Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, August 26, 2026

Please remember us in your sincere prayers