Surah Waqiah aya 16 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿مُّتَّكِئِينَ عَلَيْهَا مُتَقَابِلِينَ﴾
[ الواقعة: 16]
Wakiviegemea wakielekeana.
Surah Al-Waqiah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Reclining on them, facing each other.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wakiviegemea wakielekeana.
wakivitegemea kwa raha na utulivu huku wakielekezana nyuso kwa ziada ya mahaba.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Siku ambayo rafiki hatamfaa rafiki yake kwa chochote, wala hawatanusuriwa.
- Na pia ili Mwenyezi Mungu awasafishe walio amini na awafutilie mbali makafiri.
- Wakasema: Ewe Musa! Sisi hatutaingia humo kamwe maadamu wao wamo humo. Basi nenda wewe na
- Mwenyezi Mungu, hapana mungu isipo kuwa Yeye. Na juu ya Mwenyezi Mungu nawategemee Waumini.
- Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, na yaliyomo kati yao, na ni Mola Mlezi wa
- Sema: Hayo mauti mnayo yakimbia, bila ya shaka yatakukuteni. Kisha mtarudishwa kwa Mwenye kuyajua yaliyo
- Basi Siku hiyo hautawafaa walio dhulumu udhuru wao, wala haitotakiwa toba yao.
- Kisha tukawazamisha wale wengine.
- Je! Zimekuwasilia khabari za majeshi?
- Basi ole wao siku hiyo hao wanao kadhibisha,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Waqiah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Waqiah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Waqiah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers